Tundu Lissu nae!!


i have to prove that firsthand!
 

sure mkurugenzi!
 

...hata mie nataka kutapika!!!
 
shida ya humu ndani ni ushabiki tuu, hawana ushauri kabisa kwa hao wanaowashabikia, huo si urafiki maana rafiki ni yule anayekushauri na kukuaripia kwa mabaya uyafanyayo.

....shudu!
 
Tatizo, hata bunge lenyewe linaendeshwa kishabiki Zaidi kuliko kufuata taratibu; na wakati mwingine waheshimiwa uchwara wanaropoka utafikiri mabinti wa uswasi walio kata tamaa na maisha; hawatafakari ,awafikilii nini kinatoka vinywani mwoo;

Kwa Bungew hili; taifa litadidimia mara dufu; Ni heri mara billions bunge la Mzee Six
 
Hivi summons alipata kwa sms au karani wa mahakama limfuata bungeni?
 
kwa hiyo kuku anzaaa yai au yai linazaa kuku??kati ya summons na kuomba muongozo wa spika nini kilianza??

unaudhi
unakera
unaleta hasira
nyambafuuuuuu

hizi ndizo busara zangu zakwako zikowapi??wewe

to be honesty kaumaza anapost pumba, na mkuu son of soil punguza jaziba, ban inaweza kukukumba
 
siku hizi JF badala tushauriane na kurekebishana tunapokosea watu wanakutusi na kukukejeli. This is not fair, kama sred haikugusi na huitaki ipotezeee tu....napata wasiwasi na maana halisi ya great thinkers ya JF
 

Hivi wewe unapopigwa jiwe unatafakari kwanza au unakwepa .... kama utalala chini; utaruka; or whatever???? anza kuwalaumu hao waliompa samansi kimakosa - walikuwa na maana gani???? ilikuwa imepangwa - when you are provoked you can act anyhow ...........
subiri wakosee kimakusudi kwa Zitto na Dr. ndipo utajua kuwa safari hii UPINZANI UMEAMUA KWANI CCM WAMEZIDI MNO KUFANYA HILA NA UJANJA UJANJA ..... ujanja wa kuiba kura wanaleta hadi bungeni .............very strange!! - just my comment to u r comments.
 
Watanzania tuna upeo mdogo sana wa kutafsiri mambo. Tunatafsiri mambo mengi kwa vey narrow premises.Mtu akihoji mamlaka makubwa ya kikatiba ya Rais ya kuteua watu wengi kwenye nafasi tofauti za uongozi anaambiwa anahoji mamlaka ya JK wakati urais ni taasisi ya kushikwa na mtanzania yeyote mwenye sifa kwa nyakati tofauti chini ya katiba ile ile.

Hoja ya Mheshimiwa Tindu Lissu ilikuwa kuhoji kitendo cha hadhi na mamlaka ya Bunge kuingiliwa na mtu kutoka nje ambaye ni wa mhimili mwingine wa dola. Hoja hii ina uzito wa kulifanya Bunge lihalalishwe kuahirisha kujadili hoja iliyopo na kujiadili hoja hiyo ya kulirudishia Bunge heshima yake.

Kuna wajinga wame-construe hoja hiyo very narrowly kwamba inamhusu Mheshimiwa Tindu Lissu personally wakati inaihusu taasisi nzima ya Bunge. Kwa bahati mbaya sana miongoni mwa wajinga hao ni kiongozi mwenywe mkuu wa taasisi iliyodharauliwa, yaani Spika wa Bunge! Kwa mwendo huu Watanzania tunahitaji elimu bora kwani tuko dull kichizi.
 
Kuna dhana mbili za kuangalia hapa. TL pamoja na Spika wote wamekurupuka kwa mantiki kwamba TL hakujiandaa kutoa hoja kwani alionekana kubabaika. Pili Spika alionekana kuwa bias sana na maamuzi yake, hakutaka ku-extract kutoka kwa mlalamikaji huenda angegundua mengi, unless atuambia picha nzima alikuwa anaifahamu.
Dhana ya pili ni taswila gani Spika angependa kuijenga dhidi ya Bunge analoongoza. Je, ni bunge la kubezwa? Kama ambavyo summons ya TL ilivyotolewa! Je, ni bunge linaloweza kukiwajibisha chombo chochote kwa kuzingatia sheria zilizopo?
Naamini TL alikuwa sahihi kuonyesha hofu yake juu ya Bunge kudharauliwa (kwa kuzingatia kanuni zilizopo). Basi lilikuwa ni jukumu la Bunge kumtoa hofu memba wake japo kwa dk 10.
NB: kuitwa mahakamani si jambo dogo ndugu zangu!
 
Kwa kitendo walichofanya hiyo mahakama kuu ya Dodoma sio fair, inakuaje mbunge anapelekewa summons ndani ya kikao? kwanini wasingemsubiri atoke nje? na position ya Tundu Lissu kama Chief Whip anatakiwa awepo mjengoni wakati na anatakiwa awe na concetration kubwa ya kuhandle isssue maana yeye ni mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani ijnakuaje wanaanza kumtumia virus {summons}. au ndio lengo lao CCM kumzinguzingua na aonekana ni mkurupukaji na hafai... kwa hili hawakufanya haki na ukizingtia Bunge ni moja ya mihimili mitatu ya dola inayofanya kazi bila kuingiliwa inkuwaje mahakama inaliingilia bunge?
Uliyepost hii thread jaribu kufikiri ndio kama wewe, mfano upo kwenye sherehe halafu hapohapo unatumiwa ujumbe uende shambani.... utajisikiaje???
 
Acheni ujinga mheshimiwa alichemka. Alitaka kusikilizwa kwa manufaa ya uma. Uma wake na uma wa bunge zima ni upi. Was that important. Mimi huku niliko nilishangaa kuona ametoa mipua yake ati anataka kuahirisha bunge kwa umaarufu wa jazba. CHADEMA wasipo angalia wataonekana wacheza majoka bungeni na nje ya bunge. Wasomi waliopo CHADEMA wajifunze kujenga hoja kwa utafiti na kuondoa jazba kama za kijinga. Bungeni ni mahali pa maana bwana. Sio mahali pa mijadala ya kitoto....unauliza kirefu cha SADC bungeni kwa manufaa ya nani??
 

ilikuwa ni interview ile mkuu, hata kama wewe unapoenda kufanyiwa usahili sehemu ni lazima utakuwa na detail kidogo kuhusu ofisi unayoenda kuomba kazi.... bado hujawa mzoefu wa kufanyiwa interview.. thats why unakurupuka na kuandika ujinga hapo kwenye highlight.... na ilikuwa trick nzuri sana si unaona alivyochemka?
 
Tundu Lissu na wenzake ma Novice wa Chadema wanatafuta Cheap popularity bungeni hawajaenda pale kutatua matatizo ya wananchi wao.
 

Hapo blue imekaaje? na hapo red je? hujui unachozungumza mkuu pumzika....
 
Tundu Lissu na wenzake ma Novice wa Chadema wanatafuta Cheap popularity bungeni hawajaenda pale kutatua matatizo ya wananchi wao.

na wabunge wa CCM wameenda kufanya nini? unapozungumza jambo uwe na facts za kueleweka, hebu angalia kazi inayofanywa na John Mnyika, Halima Mdee ( mpaka wnyekiti serikali za mitaa wanazuia wannchi wasiende kutoa kero zao), ongea ukiwa na uhakika sio kuongea kishabiki zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…