Tundu Lissu: Mwaka 2019 ni wa kurudisha Demokrasia, Haki na Utu wetu Tanzania (Sehemu ya Kwanza)

Naskitika kukuambia kuwa Wewe Ni pumbavu; japo inaniuma kukuambia lakini Sina nja nyingine.
Na bado, mtatukana mpaka matusi yaishe. Hakulazimishwa na mtu kuwa kibaraka wa mabeberu, alichagua mwenyewe akidhani kuwa usaliti utamnufaisha kisiasa. Usaliti utammaliza.
Tukana tena!
 
Lissu The Great .

Sisi tutaendelea kusema tu, na nyinyi endeleeni kufanya mjuavyo..

Tumeusoma waraka wa Mh Tundu Lissu JF. Wale jamaa wa tarafa ya Ukara watausoma au watausikia wapi?
Hili ni swali tu linalostahili kuulizwa. Sina hakika kama hata wapiga kura wake Singida wana habari nao waraka huu.

Nimegundua JF inahabarisha sehemu ndogo sana ya watu wenye uwezo wa kubadili hali halisi iliyopo. Tungechota hapa na kufikisha huko, manufaa yangewezekana.
 
Ungejikita kwenye kujibu hoja yake ungeonekana wa maana sana, lakini kwa ulichokifanya hapa umeonesha ujinga wa hali ya juu sana kumuattack mtoa hpja

2020 John Walker out
 
hahahaha unamzungumzia yule bwana aliyeonekana kwenye.camera za Accassia Old akitafuta nyaraka za kwenda kuwatetea...kwa kweli usilolijua ni kama usiku wa giza
Yupi? Yule magufuli aliyewaita acacia ni wanaume wa ukweli akawakaribisha chumbani wakamuahidi kumtolea kishika uchumba?

2020 John Walker out
 
Hili andiko lissu linatuhusu sana sisi watanzania, wewe na wahutu wenzio wala haliwahitaji kweli

2020 John Walker out
 
Vipi vikao vya makinikia vinaendeleaje maana tunazitaka sana trilioni zetu 450

2020 John Walker out
 
nakala kwa gharama ya nani.?..mambo binafsi yanatuhusu nini sisi..acha upuuzi..anatuletea siasa za mwaka 47 mzee..!..hatuna muda huo saiz..apambane na hali yake kwanza aachane na wananchi
Amesema anataka kuona watu wenye akili timamu wausome waraka wa Lissu, je, wewe una akili timamu?

2020 John Walker out
 
kweli ni hazina ya kuwadalalia wazungu.duniani..ni kweli.. kichwa kama hiki walahi kingezaliwa China, tungeshakisahau zamaniiiii...kule..bahati kimezaliwa nchi ya amani na upendo mkubwa..
Nchi ya amani na upendo mkubwa ni kweli, lakini mngekuja wauwaji awamu ya 5 mbaya kama hamna akili nzuri hata huyo Lisu awepona kwa rehema ya Mungu saa hizi ungekuwa tumemsahau kama unavyo sema au mlivyotaka. Sasa mnatafuta mbinu nyingine Ile kwa Rehema za Mungu mtaondoka wenyewe kwanza.
Mmeshindwa kuvumiloa sasa manasema wazi wazi ingekuwa China kichwa chake lingekuwa halali si mmesha jaribu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwa kifupi unataka anyamaze kama marehemu kwasababu enzi hizi si za JK? Kwani walionyamaza toka awamu ya kwanza hadi sasa wote wapo hai?. Mkuu nakuhurumia sana, kila mtu na karama yake huwezi kuzima karama ya mtu bosi wewe nyamaza lala na mkeo na wanao nyumbani bila kusema chochote lakini huenda hata umri wa TL hutagusa maana Mungu anaweza kukuvuna wakati wowote, binafsi nakuombea maisha marefu ili uje ushuhudie usiyofikiria hadi sasa.
 
Mbona unafoka sana. Vipi?
 
Na bado, mtatukana mpaka matusi yaishe. Hakulazimishwa na mtu kuwa kibaraka wa mabeberu, alichagua mwenyewe akidhani kuwa usaliti utamnufaisha kisiasa. Usaliti utammaliza.
Tukana tena!
Kati ya kibaraka wa Wazungu na MUUAJI/mnyang"anyi wa wananchi yupi bora!!!? Wala sitashangaa ukimchagua mnyang'anyi maana hata enzi za kale wenzi wako walimchagua Baraba, wakapiga kelele Yesu asulubiwe!!!
 
Yale yote uliyosema kuhusu hofu kila upande wa kona ya nchi yanazidi kutokea. Ule msemo wakimalizana na sisi (wapinzani) watakuja kwenu. Leo mdhibiti na mkaguzi mkuu wa fedha za umma CAG ameitwa Dodoma kwa 'kulidhalilisha' Bunge.
 
..kama dereva ni mtuhumiwa, au ana mahusiano na magaidi waliomshambulia TL, serekali ilipaswa kuwaomba Polisi wa Kenya, au wa Ubelgiji, wamkamate na kumsafirisha kurudi Tz.
Hatuna muda huo. Akitua nchini tunae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…