UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,597
- 7,834
Na bado, mtatukana mpaka matusi yaishe. Hakulazimishwa na mtu kuwa kibaraka wa mabeberu, alichagua mwenyewe akidhani kuwa usaliti utamnufaisha kisiasa. Usaliti utammaliza.Naskitika kukuambia kuwa Wewe Ni pumbavu; japo inaniuma kukuambia lakini Sina nja nyingine.
Lissu The Great .
Na bado, mtatukana mpaka matusi yaishe. Hakulazimishwa na mtu kuwa kibaraka wa mabeberu, alichagua mwenyewe akidhani kuwa usaliti utamnufaisha kisiasa. Usaliti utammaliza.
Tukana tena!
Ungejikita kwenye kujibu hoja yake ungeonekana wa maana sana, lakini kwa ulichokifanya hapa umeonesha ujinga wa hali ya juu sana kumuattack mtoa hpjaHuu ujinga na utumbo umeandikwa na mtu anaejiita mwanasheria msomi? Kuna watu ni wapumbavu aisew. Ingawa kwa sasa hatuwezi kumlaumu san maana ni mgonjwa na pia mambo anayofanyiwa huko Ubelgiji yanasababisha aropoke tu bila break.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandka upuuziNi mpuuzi sana huyu jamaa. Anaficha ujinga wake ndani ya maandishi marefu. Stupid
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama tunachosha bwege wewe kunywa sumu ili usichoke daimaTumewazoea. Mwaka 2015 mlikuja na hiyo ICC mara sijui ICJ mara sijui upuuzi gani. Daah mnachosha sana nyie wakimbizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupi? Yule magufuli aliyewaita acacia ni wanaume wa ukweli akawakaribisha chumbani wakamuahidi kumtolea kishika uchumba?hahahaha unamzungumzia yule bwana aliyeonekana kwenye.camera za Accassia Old akitafuta nyaraka za kwenda kuwatetea...kwa kweli usilolijua ni kama usiku wa giza
Hili andiko lissu linatuhusu sana sisi watanzania, wewe na wahutu wenzio wala haliwahitaji kwelimwambieni lissu hili andiko wala hatulihitaji liendelee..wiki ijayo..mwisho wa siku halutatusaidia hata ada za. kupelekea watoto shule...wala mlo walau wa asubuhi tuu..kwa hiyo maandiko haya akae nayo katika maktaba yake ya nyumbani..au awapelekee chadema pale ufipa wahifadhi ofisini..We have no time to waste..
Wajinga hao hawana fikra huru mkuu maana wamelazimishwa kutetea hata ujingaUna uhakika akina Lisu ndiyo waliosaini mikataba mibovu ya dhahabu na kuifanya nchi yetu opiate hasara?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi vikao vya makinikia vinaendeleaje maana tunazitaka sana trilioni zetu 450suala hapa si mikataba mibovu..suala ni hatua gani tunachukua sasa za kukomesha haya..mawizi..fullstop..kwa hiyo hata kama mikataba ilikuwa mibovu ndio mwanasheria wenu a take advantage ya kuipiga serikali..kwa uanasheria uchwara wa kutetea wazungu..stupi.d
Amesema anataka kuona watu wenye akili timamu wausome waraka wa Lissu, je, wewe una akili timamu?nakala kwa gharama ya nani.?..mambo binafsi yanatuhusu nini sisi..acha upuuzi..anatuletea siasa za mwaka 47 mzee..!..hatuna muda huo saiz..apambane na hali yake kwanza aachane na wananchi
Nchi ya amani na upendo mkubwa ni kweli, lakini mngekuja wauwaji awamu ya 5 mbaya kama hamna akili nzuri hata huyo Lisu awepona kwa rehema ya Mungu saa hizi ungekuwa tumemsahau kama unavyo sema au mlivyotaka. Sasa mnatafuta mbinu nyingine Ile kwa Rehema za Mungu mtaondoka wenyewe kwanza.kweli ni hazina ya kuwadalalia wazungu.duniani..ni kweli.. kichwa kama hiki walahi kingezaliwa China, tungeshakisahau zamaniiiii...kule..bahati kimezaliwa nchi ya amani na upendo mkubwa..
Lisu alipogundua anafuatiliwa kwa nini aliwaongoza wafuatiliaji nyumbani badala ya kwenda polisi?
Wakati uliopita ni sehemu nzuri ya kutembelea ila si mahali salama pa kuishi. Lisu anateswa na kug'ang'ania kuishi wakati ulopita. Akubali kuwa hii enzi si ya akina JK, mambo yatamuwia mepesi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unafoka sana. Vipi?jinga sana maelezo yote haya yanatusaidiaje sisi wananchi wanyonge kuinua chumi zetu..maana hili ndilo jambo tunalotaka wananchi linalotufanya tunaishi , tunakula tunapeleka watoto shule , tununue tunachotaka n. k .n.k..hayo ndio mambo ya msingi tunataka kuyasikia..unakuja kutuletea malalamiko binafsi kwa ajili ya maisha yako sisi inatuhusu nini kaka Lissu..malalamiko yako peleka mahakamani au hata huko bungeni kwako..sheria za bunge mlizitunga wenyewe na wewe ukiwemo..leo unakuja sijui kutuambia nini...hatukuelewi..fata sheria kama una malalamiko mpigie simu spika..sawasawa...?
2020 jamaa hana chake. Amuulize Ghaddafi wa LibyaHeri ya mwaka mpya kaka
Damu yako lazima itawatafuna ipo siku watakiri hadharani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kati ya kibaraka wa Wazungu na MUUAJI/mnyang"anyi wa wananchi yupi bora!!!? Wala sitashangaa ukimchagua mnyang'anyi maana hata enzi za kale wenzi wako walimchagua Baraba, wakapiga kelele Yesu asulubiwe!!!Na bado, mtatukana mpaka matusi yaishe. Hakulazimishwa na mtu kuwa kibaraka wa mabeberu, alichagua mwenyewe akidhani kuwa usaliti utamnufaisha kisiasa. Usaliti utammaliza.
Tukana tena!
Hatuna muda huo. Akitua nchini tunae..kama dereva ni mtuhumiwa, au ana mahusiano na magaidi waliomshambulia TL, serekali ilipaswa kuwaomba Polisi wa Kenya, au wa Ubelgiji, wamkamate na kumsafirisha kurudi Tz.