GE2025 Tundu Lissu: Humphrey Polepole amepatikana au ni yale yale ya Mohamed Ali Kibao?

GE2025 Tundu Lissu: Humphrey Polepole amepatikana au ni yale yale ya Mohamed Ali Kibao?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Meja Jenerali Isamuhyo

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
3,103
Reaction score
9,583
Mhe. TunduALissu anauliza;
1. Humphrey Polepole amepatikana au ni yale yale ya Mohamed Ali Kibao?

2. Mama anasemaje juu ya balozi wake Humphrey Polepole au ni kazi na utu?
==========================
Baada tu ya kuingia kwenye chumba namba moja (1) cha Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam kuendelea na usikilizwaji wa kesi ya uhaini inayomkabili, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu amesikika akiwahoji watu walioko kwenye chumba hicho cha Mahakama endapo wanafahamu kama aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania kwenye nchi za Malawi na Cuba Humphrey Polepole aliyetoweka kwenye mazingira tatanishi kama amepatikana au hajapatikana.

 
Mhe. TunduALissu anauliza;
1. Humphrey Polepole amepatikana au ni yale yale ya Mohamed Ali Kibao?

2. Mama anasemaje juu ya balozi wake Humphrey Polepole au ni kazi na utu?
==========================
Baada tu ya kuingia kwenye chumba namba moja (1) cha Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam kuendelea na usikilizwaji wa kesi ya uhaini inayomkabili, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu amesikika akiwahoji watu walioko kwenye chumba hicho cha Mahakama endapo wanafahamu kama aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania kwenye nchi za Malawi na Cuba Humphrey Polepole aliyetoweka kwenye mazingira tatanishi kama amepatikana au hajapatikana.
Aiseee ! kazi kweli kweli.
 
Hivi hii serikali ya CCM ya sasa nikwamba imekosa mamaster mind au ma mastermind wamegoma kutumika na hii serikali dharimu ?

Kunavitu inafanya hadi mtu unajiuliza hivi master mind wao ni waufaulu wa level gani hasa 🤣🤣

Mimi hadi leo bado sijaielewa ile hesabu yao ya kufadhiri CHAUMMA and at the same time wakamkamata Lissu 🤣🤣 kwangu ile naona ni sawa na kukanyaga Breck hadi mwisho na hapohapo unakanyaga excelerator hadi mwisho .

Yaani hutaenda mahali popote zaidi ya kupigia tu watu kelele na ikitokea umejisahau padogo tu nirahisi kujisababishia kifo .

Hicho ndicho kilichofanywa na CCM.
 
Hivi hii serikali ya CCM ya sasa nikwamba imekosa mamaster mind au ma mastermind wamegoma kutumika na hii serikali dharimu ?

Kunavitu inafanya hadi mtu unajiuliza hivi master mind wao ni waufaulu wa level gani hasa 🤣🤣

Mimi hadi leo bado sijaielewa ile hesabu yao ya kufadhiri CHAUMMA and at the same time wakamkamata Lissu 🤣🤣 kwangu ile naona ni sawa na kukanyaga Breck hadi mwisho na hapohapo unakanyaga excelerator hadi mwisho .

Yaani hutaenda mahali popote zaidi ya kupigia tu watu kelele na ikitokea umejisahau padogo tu nirahisi kujisababishia kifo .

Hicho ndicho kilichofanywa na CCM.
Ilikuwa Ni very stupid decision
 
MUNGU ampe uhai mrefu Lissu naamini huyu mtu anaenda kusaidia baadhi ya mambo yabadilike nchini.

Japo sikubaliana na NRNE lakini naamini huyu angekuwepo nje kuna jambo lingetokea na wangeingia kwenye uchaguzi.
Mkuu kwanini hukubaliani na NRNE?
 
Back
Top Bottom