huna haja ya kuhangaika na huyo mnafiki .Sasa mbona msajili wa vyama vya siasa hajakifuta?!
dah kwa kweli ni pigo sana kwa upinzani Zitto alishaonyesha mshikamano wake na upinzani na sijuwi ilikuwaje Chadema wasikubaliane nimemzoea anajenga hoja za ukweli. Lakini naamini issue ya Escrow ndio iliyoweka pump asirudi tena bungeni kwa vyovyote vile - ccm ni hatari sana
Teh Teh Teh
Labda safari ya kumrudisha Slaa kwenye upadrisho
Inawezekana kweli zitto kuomba msamaha kwenye chama......?
Mimi namlaumu sana zitto my brother, angejishusha mapema na kuomba msamaha haya yasingetokea kabisa.Tatizo sijui ni kujisahau au alidanganyika?
angeomba msamaha naamini chama kingemsamehe. Haya yametokea na jimbo tumelipoteza zitto tumempoteza inaniuma sana yaani anyaway lets look movie itaishia wapi?
mkuu hii haihitaji kamati kuu ukishapeleka chama mahakamani automatically utakuwa umejifukizisha chamani
Lissu hana ujasiri huo wa kumfukuza ZITTO kwenye ubunge.
Yeah, Zito amepoteza kabisa trust ya CHADEMA. Lakini mimi napoifikiria zaidi nchi nahuzunika sana kwa uthibitisho unaozidi kujitokeza kwamba mahakama zetu ni za ovyo kabisa (kangaroo courts). Yaani siasa za kifisadi ndizo zinazoendesha mahakama; just like the Italian or Russian mafia! Zito alipewa kinga kubaki CHADEMA walipopenda "wenyewe". Leo hii kawaudhi, kinga inaondolewa chapchap, kisa?, amepoteza umuhimu! Ndugu zangu CHADEMA mngelifikiria hilo kwanza, msingepoteza muda kujitokeza kutangaza rasmi kumvua uanachama Zito; mngemuacha tu adondoke mwenyewe taratibu kwa kanuni zilizopo. Hii Tundu Lissu kujitokeza kutangaza, ni kama kuipa mahakama hadhi isiyostahili kabisa. Msipofushwe na kero moja pekee. Mngechukulia kwamba wote: Zito na mahakama ni uozo mtupu. Huo uamuzi wa mahakama umetolewa katika mazingira ya ovyo sana; si kitu ch kujivunia wala kuchangamkiwa na chama kama CHADEMA.
Pamoja na kwamba nilikuwa nafurahishwa na uwezo na ujasiri wa Zito katika kujituma kufuatilia mambo muhimu ya taifa, hivi leo sijali sana kama kapata shule au la kwani nimeona baadhi ya binadamu, kwa namna ya kushangaza sana, wako tayari kuchezewa na wahuni - bila sababu za msingi. Mfano wangu best ni mama Tibaijuka. Mtu una karama bora kabisa; kazi zako za halali zinakupa kipato cha kujidai lakini unaamua kuwaachia "watoto wa mjini" wakupapase na kukupeleka arijojo kwa ujira wa ziada wenye kamba na idhara kibao. Inaniwia vigumu sana kuelewa kwa nini mtu awe hivyo?
Tatizo maamuzi ya hiki chama yamejaa mhemko usio na Faida kwa chama bora japo wangekuwa na subira wakasoma hata sura za watu kabla ya kuja na matamko yasiyo na tija kwa jamii.Yeah, Zito amepoteza kabisa trust ya CHADEMA. Lakini mimi napoifikiria zaidi nchi nahuzunika sana kwa uthibitisho unaozidi kujitokeza kwamba mahakama zetu ni za ovyo kabisa (kangaroo courts). Yaani siasa za kifisadi ndizo zinazoendesha mahakama; just like the Italian or Russian mafia! Zito alipewa kinga kubaki CHADEMA walipopenda "wenyewe". Leo hii kawaudhi, kinga inaondolewa chapchap, kisa?, amepoteza umuhimu! Ndugu zangu CHADEMA mngelifikiria hilo kwanza, msingepoteza muda kujitokeza kutangaza rasmi kumvua uanachama Zito; mngemuacha tu adondoke mwenyewe taratibu kwa kanuni zilizopo. Hii Tundu Lissu kujitokeza kutangaza, ni kama kuipa mahakama hadhi isiyostahili kabisa. Msipofushwe na kero moja pekee. Mngechukulia kwamba wote: Zito na mahakama ni uozo mtupu. Huo uamuzi wa mahakama umetolewa katika mazingira ya ovyo sana; si kitu ch kujivunia wala kuchangamkiwa na chama kama CHADEMA.
Pamoja na kwamba nilikuwa nafurahishwa na uwezo na ujasiri wa Zito katika kujituma kufuatilia mambo muhimu ya taifa, hivi leo sijali sana kama kapata shule au la kwani nimeona baadhi ya binadamu, kwa namna ya kushangaza sana, wako tayari kuchezewa na wahuni - bila sababu za msingi. Mfano wangu best ni mama Tibaijuka. Mtu una karama bora kabisa; kazi zako za halali zinakupa kipato cha kujidai lakini unaamua kuwaachia "watoto wa mjini" wakupapase na kukupeleka arijojo kwa ujira wa ziada wenye kamba na idhara kibao. Inaniwia vigumu sana kuelewa kwa nini mtu awe hivyo?
Sasa mkimpa funguo za magogoni si mtakuwa mnaandaa identical twin ya Mugabe?????Hivi mkuu wewe unaweza kuomba msamaha wakati huna kosa? Au kosa lake kuonyesha nia ya kumtoa dikteta MBOOwe? Hadi pale alipoambiwa kijana tumia busara? Ndio maana ya Demokrasia hiyo kwenye chama chenu?
Kumbe katiba mnafuata baadhi ya vipengele tu? Vipi uwepo wa m/kiti wa sasa hivi ndugu Dj MBOOwe kuongoza kwa muhula wa 3 huu? Huoni mpkm anaenda kinyume na katiba aliyoiapa kuwa atailinda na kuitetea? Tatizo lenu CHAGGADEMA mnaongozwa kwa hisia na HISIA na VISASI na si lolote lile.
Tunasikitika kumpoteza mpiganaji zitto bungeni maana mchango wake n mkubwa sana lakini tatizo la undumilakuwili alilonalo ni bora afukuzwe tu...
Mimi narudia mwisho wa chadema ni uchaguzi wa mwaka huu. Iki chama kitapotea hamtaamini. nilikipenda sana iki chama lkn kwa upuuzi huu basi. mtu kuomba kugombea u/kt kosa? haya mengine yooote ni uzushi mtupu.sababu kuu ndo hiyo. Yamesemwa mengi ya Mboe mbona kimya? Silaa vp kujikopesha Ruzuku ya chama mbona hayo hayasemwi?
Mimi narudia mwisho wa chadema ni uchaguzi wa mwaka huu. Iki chama kitapotea hamtaamini. nilikipenda sana iki chama lkn kwa upuuzi huu basi. mtu kuomba kugombea u/kt kosa? haya mengine yooote ni uzushi mtupu.sababu kuu ndo hiyo. Yamesemwa mengi ya Mboe mbona kimya? Silaa vp kujikopesha Ruzuku ya chama mbona hayo hayasemwi?
Hii ishu itasaidia sana kupunguza kasi ya Ukawa
Zito kachanganyikiwa..anataka tuamini kuwa jaji wake angekuwepo angeshinda kesi.sio mbaya bado miezi minne tu bunge livunjwe.ila jamaa wamemuadhiriKwa upande wake Zitto Kabwe amesema hawakuwa na wito wa mahakamani leo na Jaji wa kesi kahamishiwa Tabora na hawana taarifa ya Jaji Mpya, pia kaongeza kuwa Mwanasheria anafuatilia na atatoa statement.:flypig:
Hii ishu itasaidia sana kupunguza kasi ya Ukawa
tupo likizoNgoja wake wa zito waje hapa watatokwaje na povu