Naona mwendesha mjadala anajionesha kuwa ki-magamba magamba vile maana jinsi anavyoikomalia chadema si kawaida. Hata hivyo amezidiwa sana na Mh. Lissu yaani kwa ufupi siyo level yake kabisa. Nimeudhika jinsi alivyoshindwa hata kutaja RED BRIGADE (Mwandishi gani huyu wakuu??). Fani hii ilishavamiwa na makanjanja!!Kamanda Lissu ni mgeni mwalikwa muda huu STAR TV, Ktk kipindi cha MEDANI YA SIASA NA UCHUMI