Tunauza paka aina ya persian

Tunauza paka aina ya persian

Acha kuwa mshamba, hao paka hawali panya hao wakimwona panya hukimbilia kitandani na kujifunika na shuka hao ni kama urembo wa nyumba, wanakunywa maziwa yaliyo chemshwa hawali uchafu......

Ukitaka kuwaondoa hao panya watafute wamakonde
kweli pia wanakunywa maji ya chupa tu tena Kilimanjaro ukiwawekea afya hawanywi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom