Tunauza nguo za kiume

Tunauza nguo za kiume

Mimi mwenyewe nlishauza kadeti ambazo sio za ubora Sana, baada ya malalamiko mengi kutoka kwa wateja, nmebadili Aina ya bidhaa zangu, Sasa kadeti hizi na uhakika ni quality nzuri Sana, usishangazwe na Bei hii ukadhani kuwa zitakuwa ni zile zile za siku zote, ni kwamba nafanya hivi ili kupanua soko langu

Sent using Jamii Forums mobile app
poa nakutafuta nijionee. Ikiwa ukanjanja tena Mungu atakulaani.😀
 
Kama hujui kitu nibora ukakaa kimya, hakuna kadeti ambayo haipauki... Tena hapa town na maji ya chumvi ndo balaaa ukijifanya unafua fua tuu imekwisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Zote zinapauka ila zipo ambazo zinavumulia na kuchukua muda mrefu kupauka. Mimi nimevaa Jeep, Diesel, Paul smith, E spirit n.k. zote ni yale yale. Hata ufulie maji ya baridi.

Nafulia sabuni ya kipande kwa kugeuza nje ndani ila wapi.

Kuna jamaa yangu niligundua zake hazipauki hata kidogo. Ni Exposed. Toka na mimi nizinunue Januari hadi leo ziko vile vile (labda kupauka iwe kwa mbaaaali sana). Labda na wao walewe sifa au wabongo wagonge copy.

Binafsi sijui kuhusu Polo za jamaa yetu labda nazo zaweza kuwa hazipauki haraka.
 
Mkuu hizo Exposed unazo?
Zote zinapauka ila zipo ambazo zinavumulia na kuchukua muda mrefu kupauka. Mimi nimevaa Jeep, Diesel, Paul smith, E spirit n.k. zote ni yale yale. Hata ufulie maji ya baridi.

Nafulia sabuni ya kipande kwa kugeuza nje ndani ila wapi.

Kuna jamaa yangu niligundua zake hazipauki hata kidogo. Ni Exposed. Toka na mimi nizinunue Januari hadi leo ziko vile vile (labda kupauka iwe kwa mbaaaali sana). Labda na wao walewe sifa au wabongo wagonge copy.

Binafsi sijui kuhusu Polo za jamaa yetu labda nazo zaweza kuwa hazipauki haraka.
 
Mkuu umemtaja Paul Smith hapo huyo jamaa anachelewa kupauka sana. Nadhani hata Polo hamfikii. Nataka kununua tena Paul Smith lakini kila nikitafuta nakutana na Polo na ikizidi sana Billion sijui.
Zote zinapauka ila zipo ambazo zinavumulia na kuchukua muda mrefu kupauka. Mimi nimevaa Jeep, Diesel, Paul smith, E spirit n.k. zote ni yale yale. Hata ufulie maji ya baridi.

Nafulia sabuni ya kipande kwa kugeuza nje ndani ila wapi.

Kuna jamaa yangu niligundua zake hazipauki hata kidogo. Ni Exposed. Toka na mimi nizinunue Januari hadi leo ziko vile vile (labda kupauka iwe kwa mbaaaali sana). Labda na wao walewe sifa au wabongo wagonge copy.

Binafsi sijui kuhusu Polo za jamaa yetu labda nazo zaweza kuwa hazipauki haraka.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
So una maanisha Exposed hata Paul Smith hakamati kwa kuchelewa kupauka?
Zote zinapauka ila zipo ambazo zinavumulia na kuchukua muda mrefu kupauka. Mimi nimevaa Jeep, Diesel, Paul smith, E spirit n.k. zote ni yale yale. Hata ufulie maji ya baridi.

Nafulia sabuni ya kipande kwa kugeuza nje ndani ila wapi.

Kuna jamaa yangu niligundua zake hazipauki hata kidogo. Ni Exposed. Toka na mimi nizinunue Januari hadi leo ziko vile vile (labda kupauka iwe kwa mbaaaali sana). Labda na wao walewe sifa au wabongo wagonge copy.

Binafsi sijui kuhusu Polo za jamaa yetu labda nazo zaweza kuwa hazipauki haraka.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Duka linaitwaje nije nichukue Exposed hata moja nizione jamaa kazisifia sana
Tupo Kariakoo Mtaa wa Kongo na Aggrey.

Tunauza mashati ya kiume mikono mirefu na mifupi, Tisheti za form six, body, kadeti.

Bei zetu ni nafuu sana. Pi,a ukinunua kwa wingi utauziwa kwa bei ya jumla.

Karibuni dukani, pia mikoani tunatuma mzigo bila shida yoyote.

Shati mikono mirefu = 17,000
Shati mikono mifupi =16,000
Tisheti form six = 16,000
Tisheti body = 13,000
Kadeti = 22,000

Tupigie au WhatsApp kwa namba hizi: 0744575261

View attachment 1299070View attachment 1299072View attachment 1299073View attachment 1299075View attachment 1299077View attachment 1299078View attachment 1299079View attachment 1299080View attachment 1299082View attachment 1299083View attachment 1299084View attachment 1299085View attachment 1299086View attachment 1299081View attachment 1299074

Sent using Jamii Forums mobile app
Lp

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Zote zinapauka ila zipo ambazo zinavumulia na kuchukua muda mrefu kupauka. Mimi nimevaa Jeep, Diesel, Paul smith, E spirit n.k. zote ni yale yale. Hata ufulie maji ya baridi.

Nafulia sabuni ya kipande kwa kugeuza nje ndani ila wapi.

Kuna jamaa yangu niligundua zake hazipauki hata kidogo. Ni Exposed. Toka na mimi nizinunue Januari hadi leo ziko vile vile (labda kupauka iwe kwa mbaaaali sana). Labda na wao walewe sifa au wabongo wagonge copy.

Binafsi sijui kuhusu Polo za jamaa yetu labda nazo zaweza kuwa hazipauki haraka.
Bei gani izo
 
Kwa kiasi Fulani upo sahihi boss hata mm nimevaa Sana kadeti zinazopauka, kupauka au kutopauka inategemea na kadeti husika ilijumuliwa kwa Bei gani,..najua ni ngumu kuamini Ila zipo kadeti ambazo hazipauki kabisa Bei yake ipo juu wengi huwa hatupo tayari kuilipa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati Niko la kwanza,niliwahi kusoma kitabu Cha wachina,Cha kiswahili lakini,ukitaka isipauke,dondoshea maji la limao wakati unafua
 
sure, yaani nimenunua kadeti kila design mpaka nikawa najiuliza nakosea wapi yaani ukifua mara 3 au 4 tayari.
Ungeniambia zamani ningekupa solution,unapofua mwagiamo vinegar kiasi,haitapauka kwa uharaka huo
 
Kwa kiasi Fulani upo sahihi boss hata mm nimevaa Sana kadeti zinazopauka, kupauka au kutopauka inategemea na kadeti husika ilijumuliwa kwa Bei gani,..najua ni ngumu kuamini Ila zipo kadeti ambazo hazipauki kabisa Bei yake ipo juu wengi huwa hatupo tayari kuilipa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ila usiongee uongo sasa kwamba unazo ambazo hazipauki
Kuwa mkweli tuu wala Sio lazima uandike unazo ambazo hazipauki!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom