Tunatoa lock ya simu yoyote isipokua iphone

Tunatoa lock ya simu yoyote isipokua iphone

Kahtan Ahmed

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
765
Reaction score
490
HABARI WADAU TUPO MAGOMENI TUNATOA LOCK YOYOTE YA SIMU IWE GOOGLE, PATTERN AU PIN BILA KUFUTA MAFAILI , SIMU KUTOKA NJE AMBAZO ZIMELOKIWA NA ZOTE ZILIZOFUNGWA NA TCRA KARIBUNI BEI INATEGEMEA NA AINA YA LOCK NA SIMU YENYEWE 0712212220
 
HABARI WADAU TUPO MAGOMENI TUNATOA LOCK YOYOTE YA SIMU IWE GOOGLE, PATTERN AU PIN BILA KUFUTA MAFAILI , SIMU KUTOKA NJE AMBAZO ZIMELOKIWA NA ZOTE ZILIZOFUNGWA NA TCRA KARIBUNI BEI INATEGEMEA NA AINA YA LOCK NA SIMU YENYEWE 0712212220
Nokia Lumia ipo imelock, inanipa dakika mil 1 ndo niweke tena pattern!! mekata tamaaa natamani niitupe je hiyo unaweza ku unlock??
 
Ungeweza iPhone ningekuona we Fundi lkn hizi simu nyingine ni hata cyo shida
 
Unataka kwenda kunyea kiroba mzee unazitaja hadi walivofunga wao
 
Unataka kwenda kunyea kiroba mzee unazitaja hadi walivofunga wao
zilizofungwa mana yake zimebadilishwa imei ambayo sio ya simu iliokuja nayo sasa si kosa kurudishia imei iliokuja na simu bali kosa ni kubadilisha imei ya simu ambayo sio yake
 
kweli sio shida kwako ila wapo ambao wana shida

Nakwambia hivyo Nina maana yangu niliibiwa iPhone 5c yangu yapata miezi 3 sasa daily ipo offline kaganda nayo huenda angeweza kuifungua nijue direction yake nipate simu yangu
 
iphone ambazo zina icloud wanauzaga spare mjomba sio kwamba kaganda nayo ila maeshauza
 
Mkuu Chimbachimba mautundu yako, ukishaelimika vyakutosha
Nakuwa na uwezo wa kufungua ZTE,
Ambayo imetumika Marekani nitafute.
+255-714-591548.
 
Back
Top Bottom