Tunatoa huduma za afya

Tunatoa huduma za afya

agoma

Member
Joined
Apr 5, 2016
Posts
31
Reaction score
19
HABARI,
AFYA NI UTAJIRI.

ETERNAL INTERNATIONAL LTD

Ni kliniki inayojishughulisha na masuala ya AFYA ya binadamu,ikishughulika zaidi na magonjwa sugu na kuboresha kinga ya mwili.

Pia tunatoa huduma ya upimaji ( Check- up) ya mwili mzima kwa sh 10000/=.

Pia tunatoa huduma ya mashine kwa:

Wenye matatizo ya mgongo.
Wenye matatizo ya kupooza(Stroke).
Wenye matatizo ya kuumwa na kichwa mara kwa mara.
Wenye matatizo ya kutoona vizuri.

Bidhaa zetu zina virutubisho na vijalizo ambavyo vinaponya magonjwa na maradhi yafuatayo:
Kisukari,Presha,Saratani,mafuta kwenye damu( Cholesta), matatizo ya meno,vidonda vya tumbo,pumu,tezi dume,matatizo ya ngozi,alerge( Aleji),matatizo ya mifupa,kizazi,Ini,bandama,Unene na uzito.

Tupo Dar-es-Salaam,Kariakoo mtaa wa Uhuru.

Unaweza kuwasiliana nasi kwa namba za simu:
0652 588 017.
0762 893 685.

NJOO TUKUHUDUMIE.
 
Nitabid nije kufanya cha mwil mzima ndo cha mkono ama mguu?
 
Back
Top Bottom