Mkuu hzo tabia sizo, jamaa kaweka uzi wake kua anafanya business na bei kaweka den we unakuja kuweka business ya mwngne hivi unategemea nn labda..!! Mbna survey bei yao kubwa sana nao, kuna stationary moja mabibo hostel n bei cheee lakn siwez kuitaja coz sio uzi wake huu..!! Heb tubadiliken wana jf..!! Na inawezkana umefanya kazi isiyo na ujira coz hyo stationary may be sio yako so umemtangazia business bila ya maelwano ya kukulipa.!! Nadhan tumeelewana..!! Heb tuwen magreat thinker. .!!
Peace and love ✌✌✌. Thanks