Tunataka kazi za serikali zifanyike makao makuu ya nchi-Dkt. Mwigulu

Tunataka kazi za serikali zifanyike makao makuu ya nchi-Dkt. Mwigulu

Habari za Zanzibar

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2024
Posts
260
Reaction score
199
TUNATAKA KAZI ZA SERIKALI ZIFANYIKE MAKAO MAKUU YA NCHI-DKT. MWIGULU.

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali inataka kazi zote zifanyike makao makuu ya nchi ili kusogeza huduma karibu na Wananchi.

📍Dodoma-Tanzania
🗓️ Januari 22, 2026.

Mheshimiwa Dkt. Mwigulu ametoa kauli hiyo alipotembelea Ofisi za Wizara ya Maji na Wizara ya Madini zilizopo mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma.

 
I miss the part that is my problem
 
Back
Top Bottom