Habari za Zanzibar
JF-Expert Member
- Dec 18, 2024
- 260
- 199
TUNATAKA KAZI ZA SERIKALI ZIFANYIKE MAKAO MAKUU YA NCHI-DKT. MWIGULU.
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali inataka kazi zote zifanyike makao makuu ya nchi ili kusogeza huduma karibu na Wananchi.
📍Dodoma-Tanzania
🗓️ Januari 22, 2026.
Mheshimiwa Dkt. Mwigulu ametoa kauli hiyo alipotembelea Ofisi za Wizara ya Maji na Wizara ya Madini zilizopo mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma.
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali inataka kazi zote zifanyike makao makuu ya nchi ili kusogeza huduma karibu na Wananchi.
📍Dodoma-Tanzania
🗓️ Januari 22, 2026.
Mheshimiwa Dkt. Mwigulu ametoa kauli hiyo alipotembelea Ofisi za Wizara ya Maji na Wizara ya Madini zilizopo mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma.