MKIWATA ni NGO inashughulika na jinsi ya kusaidia kutatua matatizo ya vijana kama, matumizi ya madawa ya kulevya, magonjwa, ujasiriamali, ukosefu wa ajira. MKIWATA peke yake haiwezi fanikisha ili bila kuwa na mfadhili. MKIWATA inaomba kama upo tayari au unajua jinsi ya kupatikana kwa mfadhili tunaomba uwasiliane nasi kwa email: mkiwata@yahoo.com au kwa no. +255(0)679457728 au +255(0)683007848. Asante
nyi andikeni proposal mpeleke USTAWI wa jamii kwanza then mpewe procedures za kufuata hatufanyi mambo kienyeji kuepusha upigaji na mambo yasiyoeleweka nadhani ulimsikia mkuu