bushoke wa dar
Member
- Jan 20, 2025
- 34
- 35
Habari za asubuhi wakuu .. kuna ndugu yangu anatafuta bajaji ya mkataba au hata ya kupeleka hesabu kwa siku
1. Anayo leseni ya udereva
2. Ni mwadilifu pia ni mcheshi
3. Ni mchapa kaz muda wote
Boss wa bajaji au gari ya bolt nakuhakikishia hutojutia endapo utampa kazi ndugu yangu, kiumri ni bado kijana wa miaka 22 kazi anapiga ipasavyo.
1. Anayo leseni ya udereva
2. Ni mwadilifu pia ni mcheshi
3. Ni mchapa kaz muda wote
Boss wa bajaji au gari ya bolt nakuhakikishia hutojutia endapo utampa kazi ndugu yangu, kiumri ni bado kijana wa miaka 22 kazi anapiga ipasavyo.