Tunasambaza Vifaa vya ujenzi

Tunasambaza Vifaa vya ujenzi

stanleyRuta

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2014
Posts
851
Reaction score
529
Wakuu tunasambaza vifaa vya ujenzi kwa bei nzuri pamoja na kukuletea hadi site kwako kwa maeneo yote ya pwani na dsm.

Tunauza vifaa kama
Rangi aina zote, gypsum powder, white cement, mikanda ya gypsum( cornizers), angles, maua ya gypsum, gypsum board, fiber tapes, gypsum screw, Tiles, nondo, bati, vifaa vya umeme wa majumbani n.k

Kwa wale wote wanaotaka kuuliza bei karibuni na wa kununua pia

Napatikana kwa 0754729751
 
Wakuu tunasambaza vifaa vya ujenzi kwa bei nzuri pamoja na kukuletea hadi site kwako kwa maeneo yote ya pwani na dsm.

Tunauza vifaa kama
Rangi aina zote, gypsum powder, white cement, mikanda ya gypsum( cornizers), angles, maua ya gypsum, gypsum board, fiber tapes, gypsum screw, Tiles, nondo, bati, vifaa vya umeme wa majumbani n.k

Kwa wale wote wanaotaka kuuliza bei karibuni na wa kununua pia

Napatikana kwa 0754729751

mkuu bomba za chuma kwa ajili ya nguzo unazo?za nch 3,urefu mita 8, thickness mm2
 
Unaleta mpaka site bila gharama ya ziada? Au una-charge usafiri juu ya bei ya kuuzia?
 
Hapo mkuu usafiri ni bure wala hakuna gharama yoyote ya ziada
 
Wakuu tunasambaza vifaa vya ujenzi kwa bei nzuri pamoja na kukuletea hadi site kwako kwa maeneo yote ya pwani na dsm.

Tunauza vifaa kama
Rangi aina zote, gypsum powder, white cement, mikanda ya gypsum( cornizers), angles, maua ya gypsum, gypsum board, fiber tapes, gypsum screw, Tiles, nondo, bati, vifaa vya umeme wa majumbani n.k

Kwa wale wote wanaotaka kuuliza bei karibuni na wa kununua pia

Napatikana kwa 0754729751

Mkuu asante sana kwa huduma mpaka mlangoni. Vifaa tunavihitaji sana tatizo pesa tasilim ndio shida. Hebu chemsha bongo uje na mbinu ya kutukopesha tulipe kidogo-kidogo tuchangamkia biashara. Fikiria ni jinsi gani unaweza mbana mkopeshwaji alipe bila kukwepa wala kuchelewa.
 
Mkuu Jongwe wazo lako nishalifanyia kazi na baadhi ya wateja ila nimeishia kukwamishwa na kudhulumiwa pesa yangu, ilifika wakati stoo imeyumba na mfukoni sina kitu na wateja wenyewe kulipa hawataki ikanibidi ni restart afresh ni wachache sana waliolipa
Mkuu waweza chukua mkopo sehemu tukawasiliana nkakusupply kwa bei nafuu
 
Mkuu Jongwe wazo lako nishalifanyia kazi na baadhi ya wateja ila nimeishia kukwamishwa na kudhulumiwa pesa yangu, ilifika wakati stoo imeyumba na mfukoni sina kitu na wateja wenyewe kulipa hawataki ikanibidi ni restart afresh ni wachache sana waliolipa
Mkuu waweza chukua mkopo sehemu tukawasiliana nkakusupply kwa bei nafuu

Kama ulishafanyia kazi basi kiongozi, basi ngoja tufanye kinyume chake kulipa awali kidogo-kidogo pesa ikitimia kubeba mzigo. Nitakusemesha kwa simu tufanye makubaliano.
 
Kama ulishafanyia kazi basi kiongozi, basi ngoja tufanye kinyume chake kulipa awali kidogo-kidogo pesa ikitimia kubeba mzigo. Nitakusemesha kwa simu tufanye makubaliano.
Karibu sana mkuu
 
Mkuu

Umeama hapo Kinondonii....!!?!
Au office zipo maeneo ganii
 
Back
Top Bottom