Tunaprint t-shirt

Mna print logo ninayoitaka mimi au mnazo zenu mimi nafanya kuchagua tu
Logo unayoihitaji mwenyewe mkuu. Tunapenda upate kitu unachokihiitaji mwenyewe. Japo zipo logo zetu na kama unayo yako tunakuundia tu
 
Gharama nikama 3.5M


Japo kama utaweza kwakutumia local material gharama ninafuu japo itakucost muda

Mkuu hebu ningeomba mchanganuo wa hiyo 3.5M ni bei ya machine tu. Au ukijumuisha na mambo mengine...?
 
Naomba kujua gharama za heat press machine mdau na zinapatikana wapi kwa hapa bongo?
 
Naomba kujua gharama za heat press machine mdau na zinapatikana wapi kwa hapa bongo?
Oky. Mchanganuo ni kama hivi.
Printing machine zinapatikana kariakoo. Kuanzia 2.2m nakuendelea kulingana na ukubwa wa machine. Lazima uwe na computer.
Rangi pia na vifaa vingine vya uchoraji. Pia lazima ujue kuchora maana kuna logo zingine hazikubali machine inapidi uweze kuziandaa. Pia kuna mbinu za kuchanganya rangi. Maana ukikosea tu utashangaa mtu akifua zinafutika. Niutaalam kidogo. Karbu dom kwa mafunzo zaidi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…