Kama kuna mtu anadhani kuichagua CCM kutaleta mabadiliko TANZANIA, basi huyo mtu ni mpuuzi kuliko wapuuzi.
CCM ni ile ile, ufisadi, wizi, ubadhirifu etc ni ule ule, Na sasa wanataka kuleta machafuko nchini kwa kujaribu kung'ang'ania madaraka(ingawa hawatafanikiwa).