Tunaposema CCM ni ilele tunamaanisha

Tunaposema CCM ni ilele tunamaanisha

crunkstaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2012
Posts
331
Reaction score
161
Magufuli: Diallo,nikipata uraisi takubeba kibiashara.
Katika kauli iliyonifanya nione kweli CCM ni janga la taifa hili na tusitegemee mabadiliko yoyote zaidi ya kubebana kama shukrani katika uongozi wa Magufuri, juzi wakati anamuita mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza bwana Antony Diallo, Magufuri pasipo aibu na kuonyesha kuwa kweli CCM haina future tena alitamka na namnukuu; Antony Diallo wewe ndiye umetusaidia kuturushia mikutano yetu ya kampeni, hivyo nikiwa raisi tahakikisha nakubeba katika biashara zako!!!


HUYU NDIYE MUADILIFU ATAKAYE ANZISHA MAHAKAMA YA KUFUNGA MAFISADI NA MAJIZI.
 
. SOMA HII.

Magufuri: Diallo,nikipata uraisi takubeba kibiashara.

Katika kauli iliyonifanya nione kweli CCM ni janga la taifa hili na tusitegemee mabadiliko yoyote zaidi ya kubebana kama shukrani katika uongozi wa Magufuri, juzi wakati anamuita mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza bwana Antony Diallo, Magufuri pasipo aibu na kuonyesha kuwa kweli CCM haina future tena alitamka na namnukuu; Antony Diallo wewe ndiye umetusaidia kuturushia mikutano yetu ya kampeni,hivyo nikiwa raisi tahakikisha nakubeba katika biashara zako!!!


HUYU NDIYE MUADILIFU ATAKAYE ANZISHA MAHAKAMA YA KUFUNGA MAFISADI NA MAJIZI.


Tatizo umeacha baadhi ya maneno ili kuleta picha uliyodhamilia. Alimzungumzia Diallo kama mwekezaji mzawa kama alivyo Mengi anayelilia upendeleo maalum kwenye vitalu vya gesi.

Diallo na Star Tv yake kwa Magufuli haina tofauti na Mengi na ITV yake kwa Lowassa. Labda Azam ndio yuko more balanced!
 
Siyaoni mabadiliko ya kweli yanayosemwa kwa huyu jamaa aitwaye MAGUFULI.

USHAURI:Suluhisho ni kuubadili huu mfumo pamoja na chama chake (CCM)
 
Tatizo umeacha baadhi ya maneno ili kuleta picha uliyodhamilia. Alimzungumzia Diallo kama mwekezaji mzawa kama alivyo Mengi anayelilia upendeleo maalum kwenye vitalu vya gesi.

Diallo na Star Tv yake kwa Magufuli haina tofauti na Mengi na ITV yake kwa Lowassa. Labda Azam ndio yuko more balanced!

Ni sawa mkuu ila kauli ya kubebana ndo siooo,

pili uwezi kulinganisha ITV NA STAR,kwani itv hua ina balance kuliko star na TBC.
 
ccm has to go no matter how much we still love it!! it is a completely tired political party with tired thinking party members who can no longer bring any positive and notable change to our country!!

going from your home to a voting station to vote for ccm is like someone going into the lake to fetch some water and expects to finish water from that lake!!! completely imposible!! better remain in your home rather than planning to go to a voting station to vote for ccm a totally corrupt political party!

ccm is full of corrupt members from the top level management to the bottom level!!
 
uadilifu wake ni kwa kulinda na kuboresha mafisadi kama kawaida ya ccm,na sio kuondoa ufisadi
 
uadilifu wake ni kwa kulinda na kuboresha mafisadi kama kawaida ya ccm,na sio kuondoa ufisadi

Alisema msiwe na wasiwasi nitawalinda wazee wangu.Na nitafuata yale yote yaliyofanywa na walionitangulia.
 
Huu wimbo wao wa CCM NI ILE ILE. Unatakiwa ufanyiwe uhakiki ili kujua maudhui yaliyomo na dhamira zake.
 
Magufuli: Diallo,nikipata uraisi takubeba kibiashara.
Katika kauli iliyonifanya nione kweli CCM ni janga la taifa hili na tusitegemee mabadiliko yoyote zaidi ya kubebana kama shukrani katika uongozi wa Magufuri, juzi wakati anamuita mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza bwana Antony Diallo, Magufuri pasipo aibu na kuonyesha kuwa kweli CCM haina future tena alitamka na namnukuu; Antony Diallo wewe ndiye umetusaidia kuturushia mikutano yetu ya kampeni, hivyo nikiwa raisi tahakikisha nakubeba katika biashara zako!!!


HUYU NDIYE MUADILIFU ATAKAYE ANZISHA MAHAKAMA YA KUFUNGA MAFISADI NA MAJIZI.

Anaaibisha miye naonaga aibu kumuangalia....
 
Magufuli: Diallo,nikipata uraisi takubeba kibiashara.
Katika kauli iliyonifanya nione kweli CCM ni janga la taifa hili na tusitegemee mabadiliko yoyote zaidi ya kubebana kama shukrani katika uongozi wa Magufuri, juzi wakati anamuita mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza bwana Antony Diallo, Magufuri pasipo aibu na kuonyesha kuwa kweli CCM haina future tena alitamka na namnukuu; Antony Diallo wewe ndiye umetusaidia kuturushia mikutano yetu ya kampeni, hivyo nikiwa raisi tahakikisha nakubeba katika biashara zako!!!


HUYU NDIYE MUADILIFU ATAKAYE ANZISHA MAHAKAMA YA KUFUNGA MAFISADI NA MAJIZI.

Nikwamba hawatabadilika. Ni vibaka walewale
 
Magufuli: Diallo,nikipata uraisi takubeba kibiashara.
Katika kauli iliyonifanya nione kweli CCM ni janga la taifa hili na tusitegemee mabadiliko yoyote zaidi ya kubebana kama shukrani katika uongozi wa Magufuri, juzi wakati anamuita mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza bwana Antony Diallo, Magufuri pasipo aibu na kuonyesha kuwa kweli CCM haina future tena alitamka na namnukuu; Antony Diallo wewe ndiye umetusaidia kuturushia mikutano yetu ya kampeni, hivyo nikiwa raisi tahakikisha nakubeba katika biashara zako!!!


HUYU NDIYE MUADILIFU ATAKAYE ANZISHA MAHAKAMA YA KUFUNGA MAFISADI NA MAJIZI.



Yaani anaanza ufisadi bila hata ya hio ikulu anayoiota! huyu kweli hafai. Watanzania tusifanye mchezoMagufuli kesho kutwa!
 
Tatizo umeacha baadhi ya maneno ili kuleta picha uliyodhamilia. Alimzungumzia Diallo kama mwekezaji mzawa kama alivyo Mengi anayelilia upendeleo maalum kwenye vitalu vya gesi.

Diallo na Star Tv yake kwa Magufuli haina tofauti na Mengi na ITV yake kwa Lowassa. Labda Azam ndio yuko more balanced!

Acha uongo wewe, habari za MAGUFULI zinaonyeshwa ITV kila siku, Je uliwahi kuona habari za LOWASSA star tv?
 
Kama kuna mtu anadhani kuichagua CCM kutaleta mabadiliko TANZANIA, basi huyo mtu ni mpuuzi kuliko wapuuzi.

CCM ni ile ile, ufisadi, wizi, ubadhirifu etc ni ule ule, Na sasa wanataka kuleta machafuko nchini kwa kujaribu kung'ang'ania madaraka(ingawa hawatafanikiwa).
 
Magufuli: Diallo,nikipata uraisi takubeba kibiashara.
Katika kauli iliyonifanya nione kweli CCM ni janga la taifa hili na tusitegemee mabadiliko yoyote zaidi ya kubebana kama shukrani katika uongozi wa Magufuri, juzi wakati anamuita mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza bwana Antony Diallo, Magufuri pasipo aibu na kuonyesha kuwa kweli CCM haina future tena alitamka na namnukuu; Antony Diallo wewe ndiye umetusaidia kuturushia mikutano yetu ya kampeni, hivyo nikiwa raisi tahakikisha nakubeba katika biashara zako!!!


HUYU NDIYE MUADILIFU ATAKAYE ANZISHA MAHAKAMA YA KUFUNGA MAFISADI NA MAJIZI.

Ukishangaa Kuwa CCM Ni Ile Ile Mbona Hushangai Pia Kuwa " NDUDE " Yako au " DUSHELELE " Lako au PAPUCHI Yako Ni Ile Ile Na Mpaka Unakaribia Kuzeeka?
 
Danganya toto tu huyo, mwenyewe ni fisadi Mkubwa tu, na hana maadili kabisa.
 
Ukishangaa Kuwa CCM Ni Ile Ile Mbona Hushangai Pia Kuwa " NDUDE " Yako au " DUSHELELE " Lako au PAPUCHI Yako Ni Ile Ile Na Mpaka Unakaribia Kuzeeka?

Umeenda mbalisana mkuu ila shukrani kwa mchango wako.Karibu tena
 
Yaani anaanza ufisadi bila hata ya hio ikulu anayoiota! huyu kweli hafai. Watanzania tusifanye mchezoMagufuli kesho kutwa!

Ni kweli mkuu kwani tusipokua makini tutaumia,Nakumbuka saana uchaguzi wa 2005,na tulivyokua na imani na Mkuu wa kaya,ila alivyotutendaaa hata sina hamu nae
 
Back
Top Bottom