Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
Jamani Jamani Hay mambo huwa yana umiza sana,
Mimi Hii Imenitokea Live.. na Imenitokea wiki mbili kabla ya kufunga ndoa, siku Tano baadae ndo mtu ananimbia hanitaki na ana jamaa mwingine.Why people don say truth and they Lie?
Mbona hueleweki kgb? imekutokea wiki 2 kabla ya kufunga ndoa, siku tano baadae ndo mtu anakuambia hakutaki, which is which?
sasa ulifunga ndoa na huyo aliyekuambia wiki mbili kabla? au? mi nimeshindwa kuzielewa statements zako