Gabeji
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 2,107
- 3,029
Jamani ni muhimu tufahamu CV,ya huyu mpambanaji wa taifa letu pendwa. Maana amejilupwa sana.
Alikosoma yeye na lisu ndo tuanze kupeleka wajukuu zetu huko. Elimu yake? Exposure yake? Kabila lake ? Ni kwa nia njema tu .
Mungu mbariki Polepole, na inua wengine wakinga Polepole wengi zaidi ikikupendeza Ee Mungu !
Taifa kwanza vyama badae.
Mungu ibariki Tanzania.
Alikosoma yeye na lisu ndo tuanze kupeleka wajukuu zetu huko. Elimu yake? Exposure yake? Kabila lake ? Ni kwa nia njema tu .
Mungu mbariki Polepole, na inua wengine wakinga Polepole wengi zaidi ikikupendeza Ee Mungu !
Taifa kwanza vyama badae.
Mungu ibariki Tanzania.