Tunanunua ng'ombe wadogo/ndama

Tunanunua ng'ombe wadogo/ndama

Joined
Jul 15, 2018
Posts
96
Reaction score
50
Wakuu habari zenu, Ninanunua ng'ombe wadogo (ndama)dume au jike.

Pia ng'ombe awe wa kisasa na asiyekuwa na magonjwa/kudumaa.

Niko Dar es salaam wasiliana nami 0788 548 673.
 
Mkuu hongera
Mi ninao watano wa kisasa Jesse
Ila bei nadhani hutoweza maana hawapungui million 1.5
 
O[ mkuu natafta ndama hao wako ni wakubwa siwawezi.But nicheki kwenye line tuongee biashara.QUOTE="balimar, post: 33791161, member: 326137"]
Mkuu hongera
Mi ninao watano wa kisasa Jesse
Ila bei nadhani hutoweza maana hawapungui million 1.5
[/QUOTE]
Ok
 
Back
Top Bottom