jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Tuaumia mioyoni, tunamawazo vichwani, yaani hatuelewielewi!
Miaka inazidi kukatika na watu hawaoni tunachokiona! Hivi hata Mangula haoni kweli?
Hivi mnataka itokee nini ndio mjue kuwa tuna umia mioyoni!
Baba CAG tusaidie tuujue ukweli.
Tena usiogope kuusema hadharani maana ukweli ndio tunautaka.
Tunaimani wewe hununuliki! Tena wewe ni jembe!
Baba CAG Pitia hesabu moja baada ya nyingine mpaka tujue ni nani ameliua shirika letu la uchumi SUKITA.
umbaini na utoe mapendekezo gereza lipi apelekwe. Sukita sio karatasi useme imelowa na kutokomea na maji ya mafuriko.
Kumbukeni hiyo ni ruzuku ya chama! Ni kodi za wananchi hizo.
CAG tusakie mbaya wetu tafadhali.
Miaka inazidi kukatika na watu hawaoni tunachokiona! Hivi hata Mangula haoni kweli?
Hivi mnataka itokee nini ndio mjue kuwa tuna umia mioyoni!
Baba CAG tusaidie tuujue ukweli.
Tena usiogope kuusema hadharani maana ukweli ndio tunautaka.
Tunaimani wewe hununuliki! Tena wewe ni jembe!
Baba CAG Pitia hesabu moja baada ya nyingine mpaka tujue ni nani ameliua shirika letu la uchumi SUKITA.
umbaini na utoe mapendekezo gereza lipi apelekwe. Sukita sio karatasi useme imelowa na kutokomea na maji ya mafuriko.
Kumbukeni hiyo ni ruzuku ya chama! Ni kodi za wananchi hizo.
CAG tusakie mbaya wetu tafadhali.