Ian_
Member
- Dec 1, 2019
- 7
- 6
Habari zenu wanajamvi, awali ya yote namshukuru Mungu kwa kunipa uhai....
Going straight to the point,. Hizi siku chache almost (22+days), baada ya kuwa na almost same routine nnapokaribia kulala nimegundua Jambo moja kwamba, kuna possibility kubwa tunapolala tunaingia kwenye ulimwengu wa wafu wasioweza kujitambua.
#Proof:
Watu wengi waliowahi ota ndoto za kutisha wanadai walishindwa kujitetea, mara sauti ilikwama mara miguu ili freeze.
#Kwanini inakuwa ivyo.
Ni kwasababu, tunapolala tunaingia kwenye ulimwengu wa wafu lakini tukiwa (50<%<60) unconscious kwa ivyo vyote vnavyotokea tunaviona ila hatuwezi kupambana navyo. Ni kwakuwa sisi tunakuwa bado tunaweza ku"exist" kwenye sehemu mbili tofauti yaani mwilini na rohoni. Nakupelekea kushindwa kujisaidia kwa lolote ,hii inaletwa na Tensions of fear inayoongeza mapigo ya moyo,wataalamu wangesema "The energy has been converted to fast pulse ",. Baada ya nguvu nyng kupotea in form of heat and kinetic energy (jasho+joto),, siku inayofuata watu uamka wakiwa wamechoka 🤔
.
Going straight to the point,. Hizi siku chache almost (22+days), baada ya kuwa na almost same routine nnapokaribia kulala nimegundua Jambo moja kwamba, kuna possibility kubwa tunapolala tunaingia kwenye ulimwengu wa wafu wasioweza kujitambua.
#Proof:
Watu wengi waliowahi ota ndoto za kutisha wanadai walishindwa kujitetea, mara sauti ilikwama mara miguu ili freeze.
#Kwanini inakuwa ivyo.
Ni kwasababu, tunapolala tunaingia kwenye ulimwengu wa wafu lakini tukiwa (50<%<60) unconscious kwa ivyo vyote vnavyotokea tunaviona ila hatuwezi kupambana navyo. Ni kwakuwa sisi tunakuwa bado tunaweza ku"exist" kwenye sehemu mbili tofauti yaani mwilini na rohoni. Nakupelekea kushindwa kujisaidia kwa lolote ,hii inaletwa na Tensions of fear inayoongeza mapigo ya moyo,wataalamu wangesema "The energy has been converted to fast pulse ",. Baada ya nguvu nyng kupotea in form of heat and kinetic energy (jasho+joto),, siku inayofuata watu uamka wakiwa wamechoka 🤔
.