Tunajenga Mabwawa ya samaki na Mabanda ya kuku

Tunajenga Mabwawa ya samaki na Mabanda ya kuku

Joined
Oct 26, 2016
Posts
24
Reaction score
14
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
 
Habari gani wakuu?
Tungependa kuwataarifu kuwa suluhisho la ujenzi wa mabwawa ya samaki na mabanda ya kisasa ya kuku limepatikana.
Tunajenga mabwawa ya samaki ya aina zote kuanzia ya mawe, matofali, zege na ya kutumia sheets maalum pia kwa gharama nafuu sana. Pia tunatoa ushauri juu ya ufugaji bora wa samaki,urutubishaji na uandaaji wa chakula cha samaki. Tunaweza kujenga bwawa katika eneo lolote,iwe bondeni, karibu na mto, kwenye mfinyanzi, kwenye mchanga , penye udongo mgumu n.k
Kwa upande wa mabanda ya kuku, tunajenga ya kuku wa mayai, ya kuku wa nyama, ya kuku wa kienyeji ya nusu huria na hata yale ya huria pia. Tunao uwezo wa kujenga mabanda kwa mbao, hydroform, na matofali ya kawaida.
Wenye kuhitaji huduma zetu mnaweza kutupata kwenye namba: 0746060789 na tutawahudumia.
Asanteni sana.
Mahali popote tanzania hii or kwa specific location tu.
 
Habari gani wakuu?
Tungependa kuwataarifu kuwa suluhisho la ujenzi wa mabwawa ya samaki na mabanda ya kisasa ya kuku limepatikana.
Tunajenga mabwawa ya samaki ya aina zote kuanzia ya mawe, matofali, zege na ya kutumia sheets maalum pia kwa gharama nafuu sana. Pia tunatoa ushauri juu ya ufugaji bora wa samaki,urutubishaji na uandaaji wa chakula cha samaki. Tunaweza kujenga bwawa katika eneo lolote,iwe bondeni, karibu na mto, kwenye mfinyanzi, kwenye mchanga , penye udongo mgumu n.k
Kwa upande wa mabanda ya kuku, tunajenga ya kuku wa mayai, ya kuku wa nyama, ya kuku wa kienyeji ya nusu huria na hata yale ya huria pia. Tunao uwezo wa kujenga mabanda kwa mbao, hydroform, na matofali ya kawaida.
Wenye kuhitaji huduma zetu mnaweza kutupata kwenye namba: 0746060789 na tutawahudumia.
Asanteni sana.
 
Habari gani wakuu?
Tungependa kuwataarifu kuwa suluhisho la ujenzi wa mabwawa ya samaki na mabanda ya kisasa ya kuku limepatikana.
Tunajenga mabwawa ya samaki ya aina zote kuanzia ya mawe, matofali, zege na ya kutumia sheets maalum pia kwa gharama nafuu sana. Pia tunatoa ushauri juu ya ufugaji bora wa samaki,urutubishaji na uandaaji wa chakula cha samaki. Tunaweza kujenga bwawa katika eneo lolote,iwe bondeni, karibu na mto, kwenye mfinyanzi, kwenye mchanga , penye udongo mgumu n.k
Kwa upande wa mabanda ya kuku, tunajenga ya kuku wa mayai, ya kuku wa nyama, ya kuku wa kienyeji ya nusu huria na hata yale ya huria pia. Tunao uwezo wa kujenga mabanda kwa mbao, hydroform, na matofali ya kawaida.
Wenye kuhitaji huduma zetu mnaweza kutupata kwenye namba: 0746060789 na tutawahudumia.
Asanteni sana.
MWAGA BEI ELEKEZI..
 
Naomba kuona japo picha z kazi zenu mlizo wahi kufanya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom