Tunaisubiri kwa hamu UNITED FRONT

Tunaisubiri kwa hamu UNITED FRONT

Hahaha.. Bado unaendelea kuwaita watu maskini?,huku ukishinda kwenye mitandao ya kijamii masaa 24?, Mkuu nina uhakika % kubwa wewe limbukeni, huna exposure yoyote hata passport huna, ni wale watu mnaojua yaliyowazunguka tu.Halafu uwezo wako wa kung'amua mambo ni mdogo Sana.Umejawa na ushabiki wa kipumbavu tu.Nitaendelea kukuelimisha ili uwe unapitia hata Google ujue kuwa hakuna tajiri yoyote duniani utamkuta anashinda Kwenye mitandao ya kijamii masaa 24 hata mmoja.Narudia HAYUPO!!., Wewe ni FALA mmoja tu hapo uswahilini kwenu wanakusifia na Altezza yako ya zamani au BREVIS magari ya kizamani na wewe unavimba kichwa.
njia pekee ya masikini kupambana na tajiri ni kwa kutoa matusi na uchawi .
 
Ndugu zangu CHADEMA,CUF Original ya Maalim Seif na ACT WAZALENDO wakati ni huu wa kuunganisha vyama vyetu na kupanga mikakati ya kushika dola.

Watanzania wengi wanasubiri siku hii tuwe serious tuache kucheza miziki tumayopigiwa na CCM pia kuna watu wengi ambao wako ndani ya Chama Tawala ambao wakituona tumeungani sha mikakati watakuja kwa maalfu

Ndugu zanguni viongozi wetu Maalim Seif,Freeman Mbowe, Zitto Kabwe wekeni tofauti zenu pembeni unganeni sio kama ule umoja wa UKAWA safari hii tunataka muungano kama ule wa Afroshirazi na Tanu
Tukiwa kitu kimoja tutaweka mfumo imara wa kuyatambua Mapandikizi kutoka CCM kwani ndio kazi yao iliyobakia kutuwekea mapandikizi halafu kuja kuyanunua.
Tuwe makini nahodha analizamisha ja hazi kwa makusudi wakati sote tumo ndani.
Mungu wabariki wapinzani,mungu ibariki Tanzania.
kwani Tanzania rais hupatikana kwa sanduku la kura?
 
njia pekee ya masikini kupambana na tajiri ni kwa kutoa matusi na uchawi .
Ukitaka uwe TAJIRI hatua ya kwanza ni "Get away from Social Networks", hiyo principle wanaelezea matajiri wote duniani. Wewe utaendelea kuwa maskini sababu kipimo chako cha utajiri kipo chini sana.Hujui hata principles za matajiri.Endelea kushinda Jamii Forums labda Mbowe atakuongezea malipo.Ila ukweli ni kuwa wewe huwezi kuwa tajiri hata siku za karibuni kutokana na ufinyu wako wa akili.
 
endelea kuota
Nataka kukupa ndoto moja kutoka kwa hayati baba wa demokrasia mzee Mandela.
Inspiring-Nelson-Mandela-quotes-Always-seems-impossible-until-its-done.jpg
 
Umoja unatupa ushindi,hakuna kitu CCM wanakiogopa kama muungano wa dhati kama hùu wa UNITED FRONT trust me
 
Back
Top Bottom