imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,403
Ndugu zangu CHADEMA,CUF Original ya Maalim Seif na ACT WAZALENDO wakati ni huu wa kuunganisha vyama vyetu na kupanga mikakati ya kushika dola.
Watanzania wengi wanasubiri siku hii tuwe serious tuache kucheza miziki tumayopigiwa na CCM pia kuna watu wengi ambao wako ndani ya Chama Tawala ambao wakituona tumeungani sha mikakati watakuja kwa maalfu
Ndugu zanguni viongozi wetu Maalim Seif,Freeman Mbowe, Zitto Kabwe wekeni tofauti zenu pembeni unganeni sio kama ule umoja wa UKAWA safari hii tunataka muungano kama ule wa Afroshirazi na Tanu.
Tukiwa kitu kimoja tutaweka mfumo imara wa kuyatambua Mapandikizi kutoka CCM kwani ndio kazi yao iliyobakia kutuwekea mapandikizi halafu kuja kuyanunua.
Tuwe makini nahodha analizamisha ja hazi kwa makusudi wakati sote tumo ndani.
Mungu wabariki wapinzani,mungu ibariki Tanzania.
Watanzania wengi wanasubiri siku hii tuwe serious tuache kucheza miziki tumayopigiwa na CCM pia kuna watu wengi ambao wako ndani ya Chama Tawala ambao wakituona tumeungani sha mikakati watakuja kwa maalfu
Ndugu zanguni viongozi wetu Maalim Seif,Freeman Mbowe, Zitto Kabwe wekeni tofauti zenu pembeni unganeni sio kama ule umoja wa UKAWA safari hii tunataka muungano kama ule wa Afroshirazi na Tanu.
Tukiwa kitu kimoja tutaweka mfumo imara wa kuyatambua Mapandikizi kutoka CCM kwani ndio kazi yao iliyobakia kutuwekea mapandikizi halafu kuja kuyanunua.
Tuwe makini nahodha analizamisha ja hazi kwa makusudi wakati sote tumo ndani.
Mungu wabariki wapinzani,mungu ibariki Tanzania.