Je mnauza na hizo ac?
Hapana hatuuzi,tunafunga tu
Bei ya AC dukani:
Zinauzwa kulingana na uwezo wake(power)
-Yenye horse power 2(2hp) ni Tsh 1,000,000/=
-Yenye horse power 1(2hp) ni Tsh 900,000/=
-Yenye horse power 0.5(0.5hp) ni Tsh 700,000/=
Bei yetu ya kufunga ni Tsh 150,000 lakini a makubaliano yapo.
Huyu fundi daa bei halali ni sh 70000 nimeshafungiwa na watu wengi tena sehemu mbali mbali mkuu
Huyu fundi daa bei halali ni sh 70000 nimeshafungiwa na watu wengi tena sehemu mbali mbali mkuu
Mimi nilifungiwa kwa sh 50,000 tu.