Tunachowaomba Rais Samia, Mzee Kinana na Dr Nchimbi 2025 watuletee Wabunge wenye Uwezo hawa wa Shujaa Wamedoda!

Wabunge tuliochaguliwa na Shujaa Magufuli 2020 wameonesha Uwezo mdogo Sana hadi sasa

Hawawezi kutetea lolote kuhusu Wananchi

Nimwombe mwenyekiti mh Dr Samia na Wasaidizi wake Chamani Mzee Kinana, Dr Nchimbi na Komredi Makonda wahakikishe makosa ya 2020 hayarudiwi

Unamtosa Adadi unamleta Mchambuzi wa Michezo 🐼
Ushirikina nao unafanya kazi vizuri sn
 
Nina imani na Samia,Nchimbi na Kinana watasaidia kupata wabunge sahihi kama enzi za Mkapa na Kikwete. Na wao inawakera sana,kwa vile wanaamini katika Demokrasia. 60% hawatarudi. Kama uchaguzi huru na haki hata kwa asilimia 55 tu basi tutegemee CCM asilimia 60 na wapinzani asilimia 40. Hapo Bunge litakuwa na uhai
 
Wabunge wa sasa ndiyo CCM inavyotaka ili mambo yao yawe yanapitwa bila kupingwa. Hawa wabunge hawako hivyo kwa bahati mbaya... lah.. imepangwa iwe hivyo... sidhani kama Samia hawafurahishwi na hili bunge... kwake nadhani ndio murua maana kila kitu cha serikali yake kitapita bila shida...
 
Wabunge tuliochaguliwa na Shujaa Magufuli 2020 wameonesha Uwezo mdogo Sana hadi sasa

Hawawezi kutetea lolote kuhusu Wananchi

Nimwombe mwenyekiti mh Dr Samia na Wasaidizi wake Chamani Mzee Kinana, Dr Nchimbi na Komredi Makonda wahakikishe makosa ya 2020 hayarudiwi

Unamtosa Adadi unamleta Mchambuzi wa Michezo 🐼
wamechina kama samaki, hawafai hata ukiwazimua kwa ndimu
 
Wabunge tuliochaguliwa na Shujaa Magufuli 2020 wameonesha Uwezo mdogo Sana hadi sasa

Hawawezi kutetea lolote kuhusu Wananchi

Nimwombe mwenyekiti mh Dr Samia na Wasaidizi wake Chamani Mzee Kinana, Dr Nchimbi na Komredi Makonda wahakikishe makosa ya 2020 hayarudiwi

Unamtosa Adadi unamleta Mchambuzi wa Michezo
Siyo "walete" . Hao unaowataja akina SSH, Kinana na Nchimbi hawawafahamu watu wanaofaa. Wananchi ndiyo wanawafahamu wanaofaa. Ndiyo maana Uchaguzi huru ndani ya CCM na nje ya CCM ndiyo falsafa ambayo watu wanaofikiri huipigania kwa maslahi ya maendeleo ya Taifa. Timu ya wacheza mpira wa ndimu ukiipeleka kama timu yako ya taifa ya mpira ndiyo tatizo la Bunge letu sasa. Mapambio ya kumsifu SSH yanachukua muda mrefu kuliko kuchangia hoja inayojadiliwa! Kweli Tanzania tutafika huko wenzetu waliko? Umesikia hoja nzito za Afrika Kusini kwenye Mahakama ya Dunia? Wenzetu wako hapo! Sisi tunazungumzia matatizo ya wanawake ambao waume wa wamepotezwa bila maelezo ya polisi, hawajulikani walipo au kuandaa viongozi watakaosaidia kuiba kura au kutangaza ushindi wa kufikirika! Hii ndiyo nchi ya Nyerere iliyomtisha Kissinger wakati huo wa kugombea uhuru wa Zimbabwe!
 
wa

ili wabunge wawe wazuri ni lazima uwachanganye na wabunge wa kutosha kutoka upinzani la sivyo kosa kubwa lilifanyika awamu ya 5 na ndiyo kisa cha kurubuni wale 19.Kosa hili lisirudiwe tena linaua democracy na maendeleo ya nchi.
Kwamba wabunge wa ccm ili wawe wazuri hadi wachanganywe na wabunge wa kutoka upinzani?
 
Wabunge tuliochaguliwa na Shujaa Magufuli 2020 wameonesha Uwezo mdogo Sana hadi sasa

Hawawezi kutetea lolote kuhusu Wananchi

Nimwombe mwenyekiti mh Dr Samia na Wasaidizi wake Chamani Mzee Kinana, Dr Nchimbi na Komredi Makonda wahakikishe makosa ya 2020 hayarudiwi

Unamtosa Adadi unamleta Mchambuzi wa Michezo 🐼
Ccm ilitaka kushika Wabunge wengi iwapitishe wale ambao Wananchi wanawataka sio wale ambao Rais anawataka.

Kama Rais anawataka atawateua baada ya uchaguzi.

Mfano Yule Mbunge wa Chadema wa Nkasi alishindwa Kwa sababu CCM ililazimisha Mwarabu Kessy ambae alitukana Wananchi so wanaccm wakamkomoa but Hilo Jimbo linarudi Kwa ccm 2025,Wilayani hakuna Chadema.
 
Mnakosea sana mnaposema walichaguliwa na JPM.

Ieleweke tu kwamba Wabunge walichaguliwa 2020 ni viazi!!

Hizi fikra tegemezi kwa JPM ndo zimekupotezeni CHADEMA hata msijue asubuhi muamke na hoja Gani!!

Naungana na wewe kwamba hatuna Wabunge Bali tuna Viazi tena vilivyooza
Sio kila amtajaye JPM ni CHADEMA. Muombe radhi kada kindakindaki wa Lumumba johnthebaptist ingawa anachekelea tu.

Anyway yuko sahihi. Zaidi ya 90% ya watu wazima Tanzania tunajua kuwa matokeo ya uchaguzi 2020 yaliamuliwa na kupitishwa na Magufuli kwa kushirikiana na chawa wake. Hakuna haja ya makasiriko kuhusu hii fact. It’s an open secret.
 
acd08ecbdc3e4b2f9e78b609125156bf.jpg
 
Back
Top Bottom