choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,289
- 4,087
Wachezaji wa Simba sisi mashabiki wenu tunawadai kimoja kati ya vitu vitatu vifuatavyo na ikiwezekana vyote
1. Kumfunga Berkane na kuchukua shirikisho
2. Kuwafunga " hatuchezi fc na kuchukua ligi
3. Kuwafunga "hatuchezi fc " na kuchukua crdb
Haya mambo matatu mkishindwa kufanya hata moja kisha tumalize msimu patupu haikubaliki, ni either muondoke wote tuanze upya
Tumechoka unyonge wa miaka minne
1. Kumfunga Berkane na kuchukua shirikisho
2. Kuwafunga " hatuchezi fc na kuchukua ligi
3. Kuwafunga "hatuchezi fc " na kuchukua crdb
Haya mambo matatu mkishindwa kufanya hata moja kisha tumalize msimu patupu haikubaliki, ni either muondoke wote tuanze upya
Tumechoka unyonge wa miaka minne
