Steven Nguma
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 1,074
- 1,143
Mechi za Simba na Yanga huwa zinakosaga mchezo wa kiufundi zaidi ni kukamiana,tuombe viongozi wa timu hizi wabadilike wazio ngoze timu hizi ktk weledi wa mpira badala ya mambo ya kizamani,ukiangalia mechi kubwa za South Afrika au Zambia unaona ufundi wa mpira sio hii butua butua ya hapa, mwisho mmoja akifungwa zianaanza lawama mara huyu kauza mechi basi ilimradi tu kuharibu starehe ya mpira.