Tunachimba Visima

Tunachimba Visima

saidy17

Member
Joined
Jan 19, 2017
Posts
37
Reaction score
4
Tunachmba visima kwa bei nafuu maeneo ya dar es salaam kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kwa namba zifuatazo 0656535266
07c2cc64b76ccbe8bd2c50313596c2ef.jpg
2f3e1a160d51ebeaf2d73498a5dfb868.jpg
 
Hatuna mkuu
Nataka kuchimba kisima cha umwagiliaji pale bagaboyo ambacho kitatukia pump.
Kwa ufupi mnaweza nipa gharama zake?
Je kuna pump ambayo inaweza endeshwa na sola?
Nipen gharama ya kuchimba, bombaa na pump yenye nguvu, tuonge biashara
 
Weka na bei na mita kabisaa ili tukipiga Sim tujue tunaanzia wap!!!
 
Weka na bei na mita kabisaa ili tukipiga Sim tujue tunaanzia wap!!!
Hatuchimbi kwa mita boss, sisi huwa tunapiga mahesabu ya jumla inamaana mpka tujue ni wap, ili tujue tunachimba mita ngapi na tuje kufanya kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom