Tunachimba visima bei nafuu sana

Tunachimba visima bei nafuu sana

Poxino

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
727
Reaction score
53
HEPUKA USUMBUFU WA MAJI YA WASIWASI SASA PATA MAJI YA HUHAKIKA NAYAKUDUMU
1 Tunachimba visima kwa mita 55,000 badala ya 65,000 kwa mwambao wapwani,
2 Tunafanya uchunguzi wa maji kama yapo (water survey) kwa bei nafuu sana
3 Tunatoa pump zilizo katikia ndani yakisima na kufunga pump kwa wale wenye kutaka kubadilisha na kuifanyia service
OFI ZIPO SINZA Dar Es Salaam
karibuni simu 0755984282
 
EPUKA USUMBUFU WA MAJI YA WASIWASI, SASA PATA MAJI YA UHAKIKA NA YA KUDUMU:
1 Tunachimba visima kwa mita 65,000 kwa mwambao wa Pwani.
2 Tunafanya uchunguzi wa maji kama yapo (water survey) kwa bei nafuu sana.
3 Tunatoa pump zilizo katika ndani ya kisima na kufunga pump kwa wale wenye kutaka kubadilisha na kuifanyia service.

OFISI ZIPO SINZA. Karibuni.
Simu 0755984282
 
Huduma nzuri ila unajua mnatakiwaga kuwa concise na kauli mnazoongea sasa bei nafuu sana ni ipi?
kwangu na kwa mengi ukisema bei nafuu ni vitu viwili tofauti kabisa,embu jaribuni kuwa wa wazi ndugu tuokoe resources kama muda wako na wetu wa kuuliza na kujibiwa pamoja na vocha za kupigiana. Asante
 
Una maana gani unaosema bei nafuu sana? Mbona umetaja gharama ya kuchimba kwa nini usitaje ya survey?
 
Survey inategemeana sehemu na sehemu mkuu sasa uwez sema kupima temeke sawa na kupima morogoro kwakua tupo Dar es salaam
 
Maeneo ya goba-mbezi survey ya kuja kuangalia kama maji yapo ni bei gani?
 
Nikitaka mfanye survey na mkasema maji yapo lakini baada ya kuchimba maji hayakupatikana,hapo gharama za uchimbaji zinakuwa za nani?
 
Mkuu time theory survey haiwezi kusema maji yapo alafu tukachimbwa yakawa hayapo ila kunawatu wanakawaida yakujita wapimaji wanachofanya wanamisha ripot sehemu walipo pima tukipima sisi na tukachimba swala lakipimo kioneshwe kina maji alafu tuchimbe tusiyakute haijawai kutokea nakuhakikishia
 
HEPUKA USUMBUFU WA MAJI YA WASIWASI SASA PATA MAJI YA HUHAKIKA NAYAKUDUMU
1 Tunachimba visima kwa mita 65,000 kwa mwambao wapwani,
2 Tunafanya uchunguzi wa maji kama yapo (water survey) kwa bei nafuu sana
3 Tunatoa pump zilizo katikia ndani yakisima na kufunga pump kwa wale wenye kutaka kubadilisha na kuifanyia service
OFI ZIPO SINZA
karibuni simu 0755984282

mkuu hapo kwenye red sijaelewa,ni 65000 kwa mita moja au?
 
Mkuu time theory survey haiwezi kusema maji yapo alafu tukachimbwa yakawa hayapo ila kunawatu wanakawaida yakujita wapimaji wanachofanya wanamisha ripot sehemu walipo pima tukipima sisi na tukachimba swala lakipimo kioneshwe kina maji alafu tuchimbe tusiyakute haijawai kutokea nakuhakikishia

Nazungumza from experience,kama tutakubaliana unapima na ukasema maji yapo nakupa kazi ya kuchimba ndani ya umbali uliosema na yakikosekana sikulipi hata mia hapo sawa.
 
HEPUKA USUMBUFU WA MAJI YA WASIWASI SASA PATA MAJI YA HUHAKIKA NAYAKUDUMU
1 Tunachimba visima kwa mita 65,000 kwa mwambao wapwani,
2 Tunafanya uchunguzi wa maji kama yapo (water survey) kwa bei nafuu sana
3 Tunatoa pump zilizo katikia ndani yakisima na kufunga pump kwa wale wenye kutaka kubadilisha na kuifanyia service
OFI ZIPO SINZA
karibuni simu 0755984282

Kama maji yatakayopatikana ni ya chumvi mtanisaidiaje kuyapurify???
 
Mkuu time theory nipe kaz km napima mwenyewe nakuchimba mwenyewe amna tabu
 
Mkuu maji kuwa yachuvi inategemea na miamba iliopo katika eneo lako uwezekano maji kutokuha ya chumvi hinawezekana kwani vifaha vya kutoa chumvi vipo mkuu ila tatizo lililopo duka lenyekuza vifahaa ivyo lipo moja ubungo plaza jina lakifaha chenyewe ROC Rephrase Ophosis na bei ipo juu sana vinanzia mill5 mpk 20 na njia nyingine ni kwa kuchimba sana nakuweza kuvuka miamba yenye chumvi iliopi chini kwakufanya ivyo ina paswa kila hatua ya uchimbaji hikifikia mita kadha kuchukuliwa sample na kwenda nayo rabaratory kwa vipimo zaidi ilikujua mwamba gani kwenda chini inatakiwa uvukwe ilikukwepa maji ya chumvi ila galama zake ni kubwa pia kwani kila hatu inabidi udongo unao chibwa upimwe na mtu water surveyor kwakulikwepa ilo watanzania wengi hua wanamu kuchimba tu ivyo ivyo mdau
 
Huduma nzuri ila unajua mnatakiwaga kuwa concise na kauli mnazoongea sasa bei nafuu sana ni ipi?
kwangu na kwa mengi ukisema bei nafuu ni vitu viwili tofauti kabisa,embu jaribuni kuwa wa wazi ndugu tuokoe resources kama muda wako na wetu wa kuuliza na kujibiwa pamoja na vocha za kupigiana. Asante
Tatizo letu waswahili ni kutokuwa precise. Tueleze, mita moja unachimba kwa bei gani? Je, mtu akihitaji huduma yako mathalani yupo Dodoma inawezekana? Na utamfanyia bei gani kwa mita?
 
KAUMZA Mzungu kabla ya kupima kwa huko dodoma lazima kupima kwanza kujua maji yapo na kama yapo ni mita ngapi mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo letu waswahili ni kutokuwa precise. Tueleze, mita moja unachimba kwa bei gani? Je, mtu akihitaji huduma yako mathalani yupo Dodoma inawezekana? Na utamfanyia bei gani kwa mita?

Dogo ana matatizo ya kujieleza.. Nimeona amesema tshs 65,000 kwa mita.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom