Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Wapendwa katika bwana!
Tumwombee mpendwa wetu JAJI MAPIGANO yuko ICU AGAKHAN HOSPITAL ANAPIGANIA roho yake
ilikuwa jana nilikwenda hospital nkakuta magari zaidi ya ishirin msafara wa rais nikapita niliporudi tena nje nikakuta msafara wa jaji mkuu, ikabidi kuuliza nikaambiwa Mpendwa JAJI MAPIGANO yuko ICU anapigania roho yake kwa israel.
Mungu akuna analoshindwa na si mbaya kuamini saw na ZAB 118....SITOKUFA BALI NITAISHI NIKIYASIMULIA MAKUU YA BWANA
Kwa niaba ya familia ya mapigano na wapa pole kwa kuguza naomben mumwamini Mungu anaweza yote
Rgds
Pdidy2011
Tumwombee mpendwa wetu JAJI MAPIGANO yuko ICU AGAKHAN HOSPITAL ANAPIGANIA roho yake
ilikuwa jana nilikwenda hospital nkakuta magari zaidi ya ishirin msafara wa rais nikapita niliporudi tena nje nikakuta msafara wa jaji mkuu, ikabidi kuuliza nikaambiwa Mpendwa JAJI MAPIGANO yuko ICU anapigania roho yake kwa israel.
Mungu akuna analoshindwa na si mbaya kuamini saw na ZAB 118....SITOKUFA BALI NITAISHI NIKIYASIMULIA MAKUU YA BWANA
Kwa niaba ya familia ya mapigano na wapa pole kwa kuguza naomben mumwamini Mungu anaweza yote
Rgds
Pdidy2011