Tumshauri huyu dada kweli amekwazika sana.

Tumshauri huyu dada kweli amekwazika sana.

Hapo anachotaka kushauliwa ni kipi na clip amesha tumiwa kaona ni mbaya haimfai si anaifuta tu maisha yana endelea kujipa strees za nini na pia amwambie tu haitaji video/picha za aina hiyo.
 
Rafiki yangu wa jinsi a kiume aliwahi kunitumia clip ya ngono ya mwanamke na mwanaume kwa e-mail. Nilishangaa sana lakini nikamtumia e-mail kuwa sipendi clip za aina ile asinitumie tena. Tulikuwa na tabia ya kutumiana vitu vya kuchekesha ila alipovuka mpaka sikusita kumwambia. Sioni sababu ya huyo dada kujaribu kutafuta tafsiri. Kama kweli kaogopa na hapendi amwambie mhusika asante kwa clip lakini nisingependa kupokea tena clip za aina hii. Si basi? Huenda huyo kaka haoni ajabu kwa hiyo anafikiri na wenzie wana mawazo kama yake. Au nae ameshangaa kwa hiyo alikuwa anamshirikisha.
 
Husniyo huwezi amini hakuna aliyeangalia hiyo clip kwa sekunde 3!Imeanza kuonesha wakaka 2 wanabusiana! Yeye akipoona hivyo ndo akatushirikisha na sisi! Naomba unielewe!

Ndugu yangu mbona nimeeleza wazi tu? Katumiwa clip alipodownload kaona wakaka 2 wanabusiana!Hakuendelea kuiangalia ndo akatushirikisha na sisi! Hakuna aliyeangalia iyo clip na anaomba nimshauri afanyeje? Kweli mtu anaweza kujiomba ushauri mwenyewe?

ACHA NITOFAUTIANE NA WENGINE...MNGEMALIZA KABISA KUIANGALIA ILI MJUE NINI HASA AMEKUSUDIA...SEKUNDE 3 CHACHE SANA KUFAHAMU MAUDHUI...VITU VINGINE VINAANZIA KATI KISHA MWANZO ALAFU MWISHO...YAANI KUBUSIANA TU SEK 3 ,HAPOHAPO MKATOA...PENGINE MLIANGALIA KWA HARAKA SANA MKASHINDWA KUTAMBUA KAMA NI KE NA ME...pengine mmoja alikuwa tomboy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom