Mahunguchila
Member
- Jun 11, 2012
- 74
- 34
Habari wana JF.
One of my workmates leo amepokea video clip ya ajabu sana toka kwa mkaka ambae sio mpenzi wake, wala close friend ila anadai alitambulishwa na boyfriedn wake. Wamekuwa wakichat mara chache kwa whatsapp hasa kutumiana msg za merry xmas n.k.
Leo kamtumia video clip ya wakaka wawili wanafanya mapenzi (mashoga)! AListuka sana akatuita na kutuonesha iyo kitu. Hana raha na anashindwa amwambieje uyo kaka.
Hivi kweli mwanaume mwenye akili zako timamu unawezaje kumtumia mwanamke clip ya mashoga? Nimejiuliza chain ya watu wenye iyo clip, ivi kweli si ndio mwanzo wa kuwashawishi hadi watoto wadogo jamani? Tunaenda wapi jamani watanzania? Huyu dada amesikitika sana!Hebu tumshauri mwenzetu jamani amfanyeje huyo mtu na yeye anadai anamheshimu sana.
One of my workmates leo amepokea video clip ya ajabu sana toka kwa mkaka ambae sio mpenzi wake, wala close friend ila anadai alitambulishwa na boyfriedn wake. Wamekuwa wakichat mara chache kwa whatsapp hasa kutumiana msg za merry xmas n.k.
Leo kamtumia video clip ya wakaka wawili wanafanya mapenzi (mashoga)! AListuka sana akatuita na kutuonesha iyo kitu. Hana raha na anashindwa amwambieje uyo kaka.
Hivi kweli mwanaume mwenye akili zako timamu unawezaje kumtumia mwanamke clip ya mashoga? Nimejiuliza chain ya watu wenye iyo clip, ivi kweli si ndio mwanzo wa kuwashawishi hadi watoto wadogo jamani? Tunaenda wapi jamani watanzania? Huyu dada amesikitika sana!Hebu tumshauri mwenzetu jamani amfanyeje huyo mtu na yeye anadai anamheshimu sana.