Tumsaidieni huyu dada

Tumsaidieni huyu dada

Mkulima na Mfugaji

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
1,056
Reaction score
1,867
Ni rafiki yangu wa dhati na urafiki wetu ni wa kawaida,ila kipindi cha nyuma alikuwa na mahusiano na kijana mmoja kwa ahadi ya ndoa.

Leo dada ananiomba ushauri kwamba jamaa yake tokea atoke chuoni amekuwa mjeuri yaani kwa kifupi amebadilika na mabadiliko yameanza tokea jamaa alivyokua chuoni mwaka wa pili.

Anaomba ushauri.
 
Sasa ushauri wa nini hapo?

huon kuwa its over?
 
Mwambie aache kuwa na mahusiano kwa ahadi za ndoa, siku hizi hadi watoto wamiaka 8 wanadanganyana kuoana, sembuse wanaume watu wazima ambao wanaotoa ahadi za kuoa kwa wanawake hata11 lakini mwisho wa siku anaoa mmoja, Mwambie jambo la muhimu ni kulinda ngome osio kubweteka kisa ana ahadi ya ndoa. Ajiongeze mwenyewe mengine
 
Mwambie aachane naye aache kujilazimisha atamsumbua.
 
Vitu vingine wala si vya kuomba ushauri

Kama jamaa kabadilika si na yeye abadilike tu????

Ya nini kung'ang'aniana
 
mimi nauza mashine zakubadilisha tabia...mwambie anitafute!!!
 
Watu wengine bhana sasa anaomba ushauri kuhusu nin
 
Mwambie ajifunze kusoma alama za nyakati.. kapata mwingine huyo...
Ivi whats the use yakukaa na mtu asiekuonyesha upendo?! Anajitesa bure kwa mtu ambae ni boyfriend hata home hajulikana. Waai.
 
Penzi la kulazimisha linatesa sana akubali matokeo kuwa penzi limekufa
 
aisee mimi huwa sibembelezi dume linalojiona BEBERU, mwambie amuache haraka na amsubiri wa kwake yupo njiani
 
pagumu hapo ila ajiambie alipovumilia panatosha ampe nafasi tuu na yeye ajipe nafasi ya kupumua akili itakaa sawa tuu atajua nini cha kufanya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom