Huyo sina hata mda nae, Wanajamii naomba niwaulize "kama tunahangaika hv na huyu m2 m1, vp huko Senegal ambako masupa staa wao kama Diof, Diop, Fadiga, Kamala, Diao nk nadhani hawalali wakiwaza jinsi ya kuwarudisha HEWANI hawa?" Thabeet kiwango kimeisha na wakati ni ukuta huwezi kupigana nao.