Tumsaidie jamani

Tumsaidie jamani

TWIME

Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
59
Reaction score
6
Wana jf nimatumain yangu mko wazima na M/mungu anazidi kuwatetea, Mm niliku busy kidogo na kukusanya mazao ndio nimepunzika wiki hii . sas naomba tumsaidie kumpa ushauri rafiki yangu mmoja ambaye yey anamahusiano na mume wa mtu sas ni takribani miaka 8 ila katika kipindi chote hicho nimekua shuhuda wa movement ya mapenzi yao kwamba hata siku moja hawajawah kufanya tendo la ndoa , na si kwamba hawapati muda la hasha miak ya nyuma walikua wakikaa mbalimbali /mikoa tofauti na walitembeleana ila hawakuwah fanya mapenzi hata kama wanakesha wanakunywa na kustarehe na inapofikia muda wa kulala bwana yule anakimbili home kwake hy ndio maisha yao ndan ya miaka saba bila kuficha rafiki yangu ana mpenda sn hy baba kwani,nimemshauri mpaka leo hii naomba tusaidiane kwan nisingependa nionekane ni tatizo katika mahisiano yake wakati mwingine inabaki kumtia moyo tu .ila kama waswahili wasemav mvumilivu ula mbivu .kwani ndani ya ni miaka miwili sas yule baba ameanza kua karibu sana na huyu rafiki yangu nk , kwamba wanaweza wakatoka outing na kuenjoy ila show mpaka dk hii ilikua bado na hy dada hana hata wazo la kua na mtu mwingine anamsubilia huyo huyo bwana wake . na tatizo si muda wa kukutana maana muda wanao wanaweza kukaa hata mpaka majogoo ila pa bed ndio pagumu na hy dada juu ya uvumilivu si wamba anashida labda ya pesa no yeye shida yake kubwa ni penzi la kweli na mtu wa kujali kwa tu message nk kwan wakati mwingine amekua akimgharamia mbaba wake ma vitu ya gharama nguo nk but mbaba yeye ni kupokea na kumshukuru pa mbaba sio masikin nae yupo safi kiuchumina ni mtu mkubwa kwa hapa tz bali mh mm sijuh ila ilichonisikitisha ht mm ni wk 2 zilizopita walipanga kuenjoy kikubwa nawakakubaliana kabisa mwanamke akalipia hotel zaidi ya dora 150 masaki,ratiba ilikua ianze mchana bwana yule akaja kwa kuchelewa wakaanza kunywa mpaka usiku sana walipotaka kufanya mapenzi condom hazikuwepo na bila kujali alivaa guo na kumuacha yule mdada huku akimwambia ulipaswa uwe na kondom sas rafiki yangu akasema alichojua ni jukumu la mume kubeba kondom hakujua na si mzoefu wa hy mambo sas ushauri jaman hapo pana mapenzi kweli au ndio akufukuzae akwambii toka tumshauri kwa pamoja kwa umakin kabisa na sio zihaka nawaomben kwan namuhurumia amashindwa cha kuamua
 
Hapo ni one way traffic love. Kakutana na mume makini na ataishia kupoteza muda sana tu. Kwani wanaume wengine hawaini? Atafute wa kumuoa huyo ana laazizi wake, atajuta kupenda vya watu.
 

aendelee ksubiria fastjet ferry
huyo baba anampenda mke wake na
ana mjali,shost atafute mtu wa kumuoa atajizeekea bure!!
 
mwambie anitafute,nina matatizo kama yake,tutaendana tu
 
Kua uyaone sio magorofa hata upuuzi Kama huo
 
....hoja yako ni kwamba nani anatakiwa kubeba kondomu, kwa jamii ya kiafrika ni vigumu kwa mwanamke kubeba ndom...mwanaume ndo anayetakiwa kuchukua, hata uende chumbani kwa msichana hata siku moja hutokuta huko ndom, mara ya kwanza watataka utumie, mara ya pili ya tatu nne atakwambia wewe mtamuuuuu kumbe umeshalowesha/chovyaaaaaa peku pekuuuuu
 
azeeke mara ngapi?tumbo kubwaaaaa sura imeshaweka makunyaazi
Hivi siriaz unategemea angekuwa kifaa kimoja matata huyo baba hata angepata nguvu ya miaka yote kukaa bila kumkula huyo mmama?au kama hapo hotelini masaki angepata nguvu ya kuvaa nguo kumuacha kisha condom kasahau?

aendelee ksubiria fastjet ferry
huyo baba anampenda mke wake na
ana mjali,shost atafute mtu wa kumuoa atajizeekea bure!!

saa nyingine nyie wamama mujielewe bana
Nimekereka kama nini
 

yeye sio mmama nadhani ni mdada
miaka yote anasubiri dushelele si ni shida
mbona wapo wanaojitambua sana tu

 
we umejuaje kama hawajawahi kugegedana mana mambo ya ndani ni siri au huwa unaweka camera kila wanapoenda? Au wewe ndo muhusika?
 
kawaida wanaume kichwa cha chini kikiamua cha juu hakifanyi kazi sasA kama huyo mwanaume kakidhibiti kichwa cha chini na una uhakika[ sijui unawachungulia] kwa miaka 8 hawajawahi kudoo mwambiw rafiki yako aendelee kumsubiria mume wa mwenzie hadi nywele Ziote mvi
 
Wew na huyo rafki yko wote ni wapumbavu..Ashauriwe nin?..Kama wehu vile coz mnaforce mapenz kwa mtu ambaye anafamilia yake na anaipenda...Jipangen upya.
 
Wana jf nimatumain yangu mko wazima na M/mungu anazidi kuwatetea, Mm niliku busy kidogo na kukusanya mazao ndio nimepunzika wiki hii . sas naomba tumsaidie kumpa ushauri rafiki yangu mmoja ambaye yey anamahusiano na mume wa mtu ......
thats the problem. mwambie atafute wa kwake. kama anampenda huyo m/mme then aache kutaka kuvunja ndoa yake, only homewreckers show their ''love'' by tearing families apart
 
Hahaha umenipa raha. Yaani kabisa 150$$ zikaenda patupu? Afu alivyo kenge si ajabu hajalala hapo na yeye, akaondoka. Kirrrruuuuu!
 
Amwache....anataka nn kama mtu hataki?huyo baba anajitambua,aendelee na mishe nyingine tu.
 
Back
Top Bottom