nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Baada ya kufungiwa wimbo unaona kabisa madogo wa wcb walivyovimba na kukataa kuutoa wimbo you tube
Cha kushangaza kuna watetezi wao kabisa
Nani asiyejua siku hizi Diamond amekuwa agent wa mambo ya kulawitiana?Mashairi yake na wenzake yana ukakasi mno,utasikia kitandani sodoma,paka mate iteleze kama nyoka pangoni,kameingia chambo nakapakia mgando,nyege nyege nyegezi kuna hotel inaitwa **** kumalija wanapangisha vyumba vya uani mara sijui michezo ya amber ruty
Why huyu jamaa yupo obsessed na ngono ya makalio hivyo hadi anaamua kuwa poison watoto?
kama unamfikisha mahakamani wema sepetu kwa kupost clip akipigwa denda ,clip ambayo mtoto wa miaka 3 hawezi hata hangaika nayo lakini nyimbo hizi za matusi vitoto vinaimba kabisaaaa.
cha kushangaza hapa majuzi kuna watu walijifanya wana uchungu sana na maadili,mmoja hadi akajiita konki na kutaja list ya anaosema ni mashoga,mwingine akalia kanisani analilia maadili
huyo aliyelia kanisani ndo MLEZI wa hawa vijana thats why wana dharau and you can tell kwamba kawaambia wapuuze kama vile walivyompuuuza naibu waziri shonza kipindi kile
Tusipompa sapoti ya public katibu wa Basata ataondolewa haswa maana huyu MLIA KANISANI NI KAMA ANAYO SERIKALI YAKE KABISAAAAA
Cha kushangaza kuna watetezi wao kabisa
Nani asiyejua siku hizi Diamond amekuwa agent wa mambo ya kulawitiana?Mashairi yake na wenzake yana ukakasi mno,utasikia kitandani sodoma,paka mate iteleze kama nyoka pangoni,kameingia chambo nakapakia mgando,nyege nyege nyegezi kuna hotel inaitwa **** kumalija wanapangisha vyumba vya uani mara sijui michezo ya amber ruty
Why huyu jamaa yupo obsessed na ngono ya makalio hivyo hadi anaamua kuwa poison watoto?
kama unamfikisha mahakamani wema sepetu kwa kupost clip akipigwa denda ,clip ambayo mtoto wa miaka 3 hawezi hata hangaika nayo lakini nyimbo hizi za matusi vitoto vinaimba kabisaaaa.
cha kushangaza hapa majuzi kuna watu walijifanya wana uchungu sana na maadili,mmoja hadi akajiita konki na kutaja list ya anaosema ni mashoga,mwingine akalia kanisani analilia maadili
huyo aliyelia kanisani ndo MLEZI wa hawa vijana thats why wana dharau and you can tell kwamba kawaambia wapuuze kama vile walivyompuuuza naibu waziri shonza kipindi kile
Tusipompa sapoti ya public katibu wa Basata ataondolewa haswa maana huyu MLIA KANISANI NI KAMA ANAYO SERIKALI YAKE KABISAAAAA