Mie naanza kumlaani hapa ndugu Makongoro Mhanga kwa kuja na sharia ya kuondoa Fao la kujitoa wakati wa awamu ya nne akiwa naibu waziri wa ajira na Vijana.
Licha ya kuhamia CHADEMA hajawahi kuomba radhi kwa kutuumiza vijana wa nchi hii.
Naomba sote tumlaani kwa kufanya haya halafu anakuja upinzani kutuhadaa. Kama anatakama msamaha basi aombe radhi Publically.
Licha ya kuhamia CHADEMA hajawahi kuomba radhi kwa kutuumiza vijana wa nchi hii.
Naomba sote tumlaani kwa kufanya haya halafu anakuja upinzani kutuhadaa. Kama anatakama msamaha basi aombe radhi Publically.