The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Duh! Ee bana ee! Afadhali umeamua kutuondoa kwenye mambo ya sihasa angalau kwa muda!
Mimi ilinitokea nimeandika barua (nikiwa standard six nakumbuka) kwenda kwa mdada mmoja wa standard five! Niliiandika usiku, si nikaisahau chini ya mto! Nikiwa shuleni nikawa nafikiria jinsi mama atakavyoingia chumbani kufanya usafi! Unajua ndivyo ilivyotokea!! Ile kurudi home mchana naangalia chini ya mto barua haipo (kumbuka kitanda kimetandikwa pia)!! Nikajua leo (siku hiyo) nimekwisha! Mshua kurudi, maza anamuonyesha barua! Dingi hakulaza damu, kaniita na kunitaka niisome mbele ya familia (wadogo zangu 3 wakubwa zangu 3 pembeni baba na mama) Kwa kweli kilichofuatia ni kipondo! Dingi yangu alikuwa anatembeza mkono mwanzo mwisho!!! Those days bana!!!
:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:You just made my day ulisulubiwa mbele ya wadogo na wakubwa zako wote wakicheki mkanda live
Tumetoka mbali hasa tulianza shule miaka ya 1970s!
Enzi zetu barua kama hii ilikuwa ukishaiandika, unatafuta nafasi ya umdhamiliae awe peke yake ili uweze kumkabidhi, kwa hiyo waweza kukaa nayo kwenye mfuko wa madaftari hata week nzima.
Na je utampatiaje hiyo barua?
Akishakuwa peke unachokifanya ni kumrushia usoni, halafu huyoo unatimua mbio. Ukifika mbele kidogo unachungulia kama anaisoma.
Utajuaje kama amekukubali?
Ukiona anasoma halafu anatabasamu, ujue tayari .
Zawadi gani dada zetu walipendelea zaidi?
Ni kumnunulia mafuta ya Lady Gay au Yolanda (kama uko safi) au kandambili , hapo atakuona kweli unamjali.
Na je akionekana kutokukubalia?
Hapa sasa haangalii kama kuna wanafunzi gani, atakuporomoshea mitusi hiyo, utazomewa na shule hutahudhuria kwa week nzima.
Tumetoka mbali hasa tulianza shule miaka ya 1970s!
Enzi zetu barua kama hii ilikuwa ukishaiandika, unatafuta nafasi ya umdhamiliae awe peke yake ili uweze kumkabidhi, kwa hiyo waweza kukaa nayo kwenye mfuko wa madaftari hata week nzima.
Na je utampatiaje hiyo barua?
Akishakuwa peke unachokifanya ni kumrushia usoni, halafu huyoo unatimua mbio. Ukifika mbele kidogo unachungulia kama anaisoma.
Utajuaje kama amekukubali?
Ukiona anasoma halafu anatabasamu, ujue tayari .
Zawadi gani dada zetu walipendelea zaidi?
Ni kumnunulia mafuta ya Lady Gay au Yolanda (kama uko safi) au kandambili , hapo atakuona kweli unamjali.
Na je akionekana kutokukubalia?
Hapa sasa haangalii kama kuna wanafunzi gani, atakuporomoshea mitusi hiyo, utazomewa na shule hutahudhuria kwa week nzima.
To be honest...I got no word to say...I wish I had but all I can say is...'thank you'...I know you are the best herein; at least you got to go through each and every topic...:confused2:Copy and Paste at Power![
Duh! Ee bana ee! Afadhali umeamua kutuondoa kwenye mambo ya sihasa angalau kwa muda!
Mimi ilinitokea nimeandika barua (nikiwa standard six nakumbuka) kwenda kwa mdada mmoja wa standard five! Niliiandika usiku, si nikaisahau chini ya mto! Nikiwa shuleni nikawa nafikiria jinsi mama atakavyoingia chumbani kufanya usafi! Unajua ndivyo ilivyotokea!! Ile kurudi home mchana naangalia chini ya mto barua haipo (kumbuka kitanda kimetandikwa pia)!! Nikajua leo (siku hiyo) nimekwisha! Mshua kurudi, maza anamuonyesha barua! Dingi hakulaza damu, kaniita na kunitaka niisome mbele ya familia (wadogo zangu 3 wakubwa zangu 3 pembeni baba na mama) Kwa kweli kilichofuatia ni kipondo! Dingi yangu alikuwa anatembeza mkono mwanzo mwisho!!! Those days bana!!!
kuna mstari karuka mpenzi Natasha kama barua hii haitakufikia nijulishe
Mh,nilikuwa nafoji sana stamp yani kny desk langu ckosi gundi,sponchi,na sabuni!nadhani tulikuwa tunahujumu uchumi,,lolWaungwana mumesahau mwendo wa kufoji stemp hasa bumu likiwa limekata nawe unataka mpendwa wako aupate ujumbe.
Stamp inafutwa kiufundi alafu unaipost kitu na box