sanjomnyama
JF-Expert Member
- Mar 20, 2016
- 261
- 160
Jaman wadau nisaidieni kwa ushauri kuhusu sisi tulio apply direct chuoni (UDOM) kwa diploma, ni mwezi wa 3 sasa hawajatujibu mpaka leo je wametusahau au ndo habari yetu imeisha??
Ubaya ni kwamba wapo kimya na muda unazidi kwendaJaman wadau nisaidieni kwa ushauri kuhusu sisi tulio apply direct chuoni (UDOM) kwa diploma, ni mwezi wa 3 sasa hawajatujibu mpaka leo je wametusahau au ndo habari yetu imeisha??
Daah acha tuisome namba tuuUbaya ni kwamba wapo kimya na muda unazidi kwenda
Mnaanza kulalama saivi hata chuo hamjafika nyie vipi? Tulieni mtaenda mnaanzisha stress ivyo mapema hii kwa nini?Ubaya ni kwamba wapo kimya na muda unazidi kwenda
Mmefanya machaguo juzi tuu mnalala watu tumemaliza vyuo kitambo na yupo kitaa maisha yanaenda bila job nyie kufanya selection nyuzi tuu mnalalamaa nawashangaa sana vumilieniUbaya ni kwamba wapo kimya na muda unazidi kwenda
Mkuu toka mwezi wa 8 ndo tuliomba hadi leo???Wala msijali hata mwaka jana ilikuwa hivyo,chuo mtapata tu kama mnavigezo.Inatakiwa mfuatilie majina yanayotolewa na vyuo
Yaa usiwe na was was subra huvuta kher!!hamjasahaulika yatatoka majina tuu coz chuo mpk tareh 29/10 so bado cku ni nyng !!Mkuu toka mwezi wa 8 ndo tuliomba hadi leo???
OK ngoja tusubiri mkuuYaa usiwe na was was subra huvuta kher!!hamjasahaulika yatatoka majina tuu coz chuo mpk tareh 29/10 so bado cku ni nyng !!
Ni process ya muda mrefuMkuu toka mwezi wa 8 ndo tuliomba hadi leo???
Adi lini mybe??Ni process ya muda mrefu
Subiri udom watoe second batchAdi lini mybe??
PoaSubiri udom watoe second batch
Udom inawanafunz weng sana kuliko chuo chochote Tanzania ndio maana mambo yanaenda taratib saan ila watatoa tuu msiwe na wasUdom mbona kila kitu wa mwisho.