Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,370
Si wa kwetu tunamuonaga kwenye tv na miwani yake nyeusi kama mchomea mageti hadi wananchi wanamuomba angalau amuache mke wake huku ili tupeleke matatizo kwa wife! Anaongoza wizara ya wale walopewa agizo la watufumue tu.