Tumependana na Mume wa mtu

Tumependana na Mume wa mtu

Novela E

Member
Joined
Feb 5, 2019
Posts
28
Reaction score
33
Wakuu mpo,
Nimemiss vichambo vyenu.

Jaman Leo sio mm ni shogaangu, huyu shogaang tumetokea kupendana tunafanya kaz office moja namuona hana raha ktk story story ikabid anifungukie aniombe ushaur, iko hv!

Huyu shogaangu ni mke wa mtu anaishi na familia yke na wanamaisha mazuri tu, sasa kuna jamaa mmoja amenunua nyumba karibu yao na kabla hajaamia wakat anafanya ukarabat alikua vifaa vya ujenz anaweka pale kwao

Bas bwana yule Dada akatokea kumuelewa jamaa sana, na yule jamaa akatokea kumuelewa yule Dada ila jamaa alikua anamuogopa yule dada kuwa mke watu alafu jiran ake.

Basi bwana jamaa akaamia na akahamisha familia yke maana kapewa transfer kutoka mkoa bas bwana, yule jamaa akaamua kuvunja ukimya akamtongoza yule dada, Dada nae kampenda jamaa kufa ikabid ampige chenga chenga huku na maneno ya hapa na pale mwisho wa Siku akaamua kumkubalia.

Tatizo sasa hana raha anasema shogaangu Mume wangu akija kujua na mke wake akija kujua itakuaje maana jamaa anampenda sna na yule jamaa anaonekana ni MTU mwenye msimamo sana na anaipenda familia yake.

Anaomba ushaur afanye nn ili asigundulike kuwa anachepuka na jiran ake maana wanapendana sana na wote wanazipenda familia zao ni katika halakat za kufurahia uumbaji yaan wanataka wadumu ktk mahusiano yao wakiwa wanapeana raha na kula bata bila kushtukiwa na majiran wala familia zao.

Jaman msijifanye walokole wachepukaji mpo wengi tu, si wanaume wala wanawake msije mkaanza toa povu, toeni ushaur wa maana mm binafs na ucharuko wangu cjawah date na jiran angu so kwangu hii ni big inshu

Nikamuuliza unaijua inaijua JF akasema haijui nikamuelekeza nikamfungulia kabisa awe anasoma visa na mikasa vya MMU ili ajifunze maisha so yupo humu ila anadai atakua anasoma tu nikamwambia ucjali so niwaombe mumpe mshaur yupo humu anasoma msitukane asije akaiogopa bure Jf maana nilimtahadharisha kuwa watu wa humu some time wana maneno ya kuudh so take it easy.

Mabaharia karibun mpen mbinu shogaangu
 
Inaonekana ndio hulka yake kutotulia kwnye ndoa, angekua na msimamo angekataa na kumchana jamaa.Ushauri wangu Ampe mzgo jusi kafiri asafishe mtaro ila yatakayo mkuta asije leta uzi humu.
 
Inaonekana ndio hulka yake kutotulia kwnye ndoa, angekua na msimamo angekataa na kumchana jamaa.Ushauri wangu Ampe mzgo jusi kafiri asafishe mtaro ila yatakayo mkuta asije leta uzi humu.
Nimesoma hii comment nikaunganisha na ile mistari ya Mbosso nimecheka kinoma 🤣🤣🤣🤣🤣...Umenikumbusha yule mshauri_dauditz wa insta.....kama una mtaji kuanzia laki mbili.....
 
Kama anaongea kama kahaba,na anavaa kama kahaba na ana pozi kama kahaba
basi kwa vyovyote tu atakuwa kahaba
 
Wewe umemshauriijeee shoga yakoo kablaa hujaja hukuuu
 
Haahaahaha aiseeee inatisha ......anyway kwa mtazamo wangu wasigusane wakifanya tu ivyo imeisha hawataweza acha na siku watakamatwa tu na pia wafikirie watoto wao kabla genye zao hazijawapeleka pabaya ....pia mwambie rafiki yako afikirie mara 2 wakae na uyo mwanaume wachanganue + na - za wanachotaka wakifanye kwa familia zao ....ushauri tu .....
 


Binafsi sina povu zaidi ya kukemea pepo la ngono tokAAAAAAAAAAA!!!
 
Siri yoyote ile ni kama mimba, muda ukifika ajiandae kisaikolijia.
 
Sijasoma uzi naomba samarii


Binafsi sina povu zaidi ya kukemea pepo la ngono tokAAAAAAAAAAA!!!
 
Kuna mambo yanasikitisha sana...

Penzi ni kikohozi mtaficha ila siku mtajulikana tuu...


Cc: mahondaw
 


Binafsi sina povu zaidi ya kukemea pepo la ngono tokAAAAAAAAAAA!!!

joanah nasema acha!
Kuingilia huba na haiba
Watu wana mambo yao
We kazi yako kuzingua
Wataka chomoa betri e

Tabuyo ni nini wakwetu
Wacha wale vitamu hao
Wapewa bure na Mola
Yanini kunyimana jama

Hakuna kahaba duniani
Pia malaya hayupo kwetu
Tumeumbwa kufurahia tu
Ndio kufurahia uumbaji
Mbunye na dhakari zetu
Hivyo ndo vitendeakazi

Wacha wafurahie raha
Raha za dunia waki hai
Ahera hatujui rahaze
Yanini kuzitaabikia eh


Bazazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom