Tume ya utumishi wa mahakama

Tume ya utumishi wa mahakama

Wametoa majina gazeti la leo nafasi za afisa utumishi na utwala

mwananchi
habari leo
 
Vipi kuhusu za hakimu mmkazi IIIbado hhawajaita? Walipiga tu simu kuuliza kama watu bado wapo available hlf kimyaaa naona
 
hawana web site, sijawahi kuifungua ikafunguka, kwa hiyo taarifa zao inakuwa ngumu kuzipata.
 
plz naomba kama umeona majina ya afisa tawala plz naomba uniandikie hayo majina bcoz nmechelewa kupata gazeti
 
Back
Top Bottom