QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Kumekuwa na Tetesi kuwa Tume ya Uchaguzi itaajiri wakurugenzi wa uchaguzi katika kila Halmashauri ili kumwondoa Mkurugenzi wa Halmashauri katika michakato ya uchaguzi. Nataka kujua kama kuna anayejua mchakato huu utaanza lini ili professionals tuchangamkie. Natumaini hawatabase kwenye itikadi waombaji wakalazimishwa kuambatanisha kadi ya CCM
Quality
Quality