Tume ya lowasa:

Tume ya lowasa:

Shokolokobangoshey

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2013
Posts
311
Reaction score
82
Hivi jamani baada ya kuanguka kwa jengo chang'ombe mwaka 2006 if am not mistaken iliundwa tume famously known as Tume ya Lowasa nayo ilikuja na majibu na proposals sasa kuna lolote lilitekelezwa na serikali kati ya yote yaliopendekezwa na tume? If not why? Na tume members si walikuwa wanalipwa kwa fedha za umma? Sasa huo sio ufujaji wa fedha za umma? Kwa sababu nina imani kabisa kama matokeo ya tume ya Lowasa yangefanyiwa kazi naamini kabisa haya yaliotokea wiki iliyopita yasingetokea tena! Na mbaya zaidi serikali haiwezi na haitoeleweka na wananchi kuzungumzia tena swala la kuunda tume wakati matokeo ya tume iliyopita bado hayajafanyiwa kazi! Labda iundwe tume ya kuchunguza kwa nini matokeo ya tume ya Lowasa hayajafanyiwa kazi hadi leo! Manake asiyejua maana haambiwi maana
 
To me this was a disaster waiting to happen and it happened and if we don't take measures will keep happening day after day.
 
Majibu ya tume zinazoundwa tz ni kama refference kwa wajukuu zetu.tunazitunza kwa makini ndo maana atuzisomi wala atuziweki mezani tunatia kabatini ili wajukuu zetu waje kuzisoma na kijibia mitihani.
 
Back
Top Bottom