Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,721
- 45,129
Huwezi kumaliza Utata huu ndugu...... Tatizo wanazi Wa Messi Wanampima Pale Pale Barca.......Wakati CR7 Kawika Man U, Madrid,Juve na Timu Ya Taifa....! Sasa mtoe Messi Barca mpeleke kwingine...Huyu anaweza kufanana Pape Ndaw Wa Simba kwa mnaomkumbuka au Ykipe Wa Yanga....Acha Kabisa
Kwangu mimi MESSI ni bora na siwezi kumjudge wala kumlaumu kwa timu ya taifa maana ameifanyia makubwa pia..Ngoja nikukumbushe, 2014 argentina imeenda WC fainali kwa mgongo wake...Unazikumbuka zile Copa america mbili mfululizo ambazo argentina ilifika final?, zote ilikuwa kupitia mgongo wa Messi...pia usisahau hata hatrick ya Messi ndio imewapeleka Argentina world cup ya 2018...Bado ni TOP SCORER wa Argentina na kupitia timu ya taifa alibeba tuzo ya mchezaji bora kombe la dunia 2018...Amefanya makubwa sana timu ya taifa na wala siwezi kumjudge, bahati haikuwa upande wake ila ameifikisha timu fainali 3 kubwa duniani.
Pia kusema amecheza ligi moja nayo ni sababu haina mashiko...Steven Gerrald kacheza liverpool peke yake lakini anatambulika kama mmoja wa viungo bora kutokea pale epl...bado akina Iniesta, Xavi na wengine wengi kama hao...Ina maana utampuuza Ramos au Buffon kisa tu 90% za maisha yao ya soka wameitumikia timu moja?...MESSI IS THE BEST.
Kwa akili yako wewe Messi ligi gani itamshinda hapa duniani?.....hebu taja,hapa kipaji cha kuzaliwa kinahusika zaidiHuwezi kumaliza Utata huu ndugu...... Tatizo wanazi Wa Messi Wanampima Pale Pale Barca.......Wakati CR7 Kawika Man U, Madrid,Juve na Timu Ya Taifa....! Sasa mtoe Messi Barca mpeleke kwingine...Huyu anaweza kufanana Pape Ndaw Wa Simba kwa mnaomkumbuka au Ykipe Wa Yanga....Acha Kabisa
Kumradhi ila Wewe ni shabiki maandazi..Huwezi kumlinganisha Messi na mtu ambaye kaisha kiuchezaji
Hadi jana jumapili Messi katupia mbili kambani Valencia akifa 3,timu yake inaongoza ligi
Ronaldo mlinganishe na akina Van persie,Didier drogba,Rooney nk
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Miller ni mchezaji mkubwa?
Sasa thomas muller unamfananisha na nani, michael sarpong? Jitu lina uefa champions league 2, ana world cup, bado mikombe kibao.. Na sio kapata kwa mgongo wa watu ana mchango mkubwa katika makombe hayo.. Kuwa na heshima kidogo mzee. Ana mpaka golden boot ya fifa worldcup 2010, 2014 akabeba silver ball.. Bado tu si kitu!?Miller ni mchezaji mkubwa?
mpira haupimwi hivyo ukizungumzia hvyo kuna Ibrahimovic kacheza klabu nyingi kuliko yeyote.Messi ni Left Footer
Vs
Ronaldo ni Both Footer, na anafunga mpaka na vichwa.
Messi kawika Barcelona
Vs
Ronaldo kawika Lisbon, Man U, Real Madrid and now Juve.
Nje ya Barca hata Sarpong anamzidi Messi.