TUMAINI JIPYA: Serengeti Boys wapambana na kupata sare dhini ya Ghana U17

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,621
8,411
Mchezo wa kirafiki kati ya Serengeti Boys (Tanzania) na Black Starlest (Ghana) umemalizika uwanja wa taifa Dar Tanzania 2-2 Ghana.

Dakika ya 90+9 Serengeti Boys wanasawazisha Tanzania 2-2 Ghana

Dakika ya 90+5, Tanzania wanapata goli la kwanza kwa mkwaju wa penati. Tanzania 1-2 Ghana

Dakika ya 90+4, Tanzania wanapata penati.

Dakika ya 73, Idris Mohammed anaiandikia Ghana goli la pili. Tanzania 0-2 Ghana

Dakika 45 za mchezo wa kirafiki kati ya Tanzania na Ghana uwanja wa taifa Dar es Salaam zimekamilika. Tanzania 0-1 Ghana

Dakika ya 22, Ghana wanafunga goli la kwanza. Tanzania 0-1 Ghana
 
Dakika ya 90+9 Serengeti Boys wanasawazisha Tanzania 2-2 Ghana

Dakika ya 90+5, Tanzania wanapata goli la kwanza kwa mkwaju wa penati. Tanzania 1-2 Ghana

Dakika ya 90+4, Tanzania wanapata penati.
Hii ndio miujiza ya Afrika...
 
Mpira unachezwa dakika 100 kama tunawapenda haya majaribio marefa wawe fair
 
Back
Top Bottom