🤣🤣🤣Nilimaanisha nimewahi ishi paleNaomba lift mkuu
Nilimaanisha nimewahi ishi pale
Kwani tafsriri ya ughaibuni Ni ipi chiefMozambique napo panaitwa ughaibuni?
Mozambique napo panaitwa ughaibuni?
We waona ni singida sio ughaibuniMozambique napo panaitwa ughaibuni?
🤣🤣Nilishika neno Maneno mawili tu,Lesa waliwama na ndefwaya nkusamba🥴😜.....onhoo...na neno totela sanaUlibwanji Bwino hapo lazima mazhandu, power tools, RedBomba ulizigusa au taqwa na classic, na lazima kwa wasomali unapajua tu, kapiri mposhi je?
Mkuu sasa hvi nipo maeneo ya west hood ,lusaka west , zambiaMsumbiji ulienda ipi? Dar pori, mueda, pemba, montepweshi, nanyupu au mikula au ulizama maputo? Mozambique kugumu kule wanakaza wagumu sio kama zamani ukipeleka redbull na soda za kopo unapiga bao au ukimchukua binti mtwara au songea ukafungua mgahawa kupika wali na ugali unatoboa, na Zambia ulienda wapi Ndola au Kitwe au ulikomaa Lusaka? Maana warundi wao wanapigia maisha zambia kwa kufungua maduka ya gloceries ambayo ndio maduka ya bidhaa za kutumia kila siku wengi wao wamefanikiwa sana wana maisha au ukijistesheni zambia uhakikishe una mtaji uwe unafuata apple, grapes, oranges na vitunguu vikubwa vyeupe uwe unaleta kuuza Zambia khamwala, au uchukue bidhaa south za duka uwasambazie wazambia lusaka au uchukue mchele bongo ukamingle kitwe na vijiwe vingine kama wabongo wengi au uuze viatu na nguo kwa kujificha, Botswana na Nambia maisha yapo ukijituma japo mazingira ya nchi za kiafrika yanafanana tu ukienda bila code unaumbuka hasa kama umeenda bila elimu au mtaji kwa Botswana mchongo ulikua manesi na madaktari ndio wanapiga door huko waganda na wakenya wanapazingatia sana hicho kipengele wanakunja pulla za kutosha,
Mkuu sasa hvi nipo maeneo ya west hood ,lusaka west , zambia
tunasogeza siku tu
Hivi south Africa,Zambia, Mozambique pia ni ughaibuni?Binafsi nishawahi kwenye South Africa,Zambia na Kisha Mozambique kupambana kujikwamua kwenye lindi la umaskini,lakini maisha nje ya nchi yako sio rahisi aisee hasa ukiwa umeenda mikono mitupu inabidi upambane ya hela yote lkn sio mara zote ni kufanikiwa japo unakuwa unakula vizuri na kulala vizuri lakini malengo yanakuwa hayatimii!nishafeli mara kadhaa na kurudi home na kwenda kupambana tena!
Je? Wewe ushawahi kwenda nchi gani kutafuta maisha na ukakumbana na changamoto zipi?
Botswana ilikua zamani kipindi hicho hawajabadili mambo ya vibali kuishi pale na kufanya kazi kwa wageni au kwa wageni ukioa pale ilikua wanapewa vibali vya kuishi na kufanya kazi kirahisi ukipigwa PI huwezi hata kwenda kufata kitu chochote kilicho nje ya ulipo..huyo aliamua kurudi mwenyewe na simu zake akaamua awadanganye ninyi alikua na simu 100 chini ya ulinzi harafu simu zenyewe kesi tosha...wengi wanaofutiwa vibali vya kuishi ni wale wanaokorofishana na wake zao kwa hiyo hawezi kuishi bila kibali anaamua aondoke tuu na ukiendelea kukaa bila vibali utaishia jela..mjomba wangu alizamia botswana .. maisha ya huko ni mazuri kuliko south. mwendo wa windoek na masauge choma tu mixer party backyard kazi kubeba box supermarket mshahara mdogo tips mpaka dollar mia kwa siku. vyakula maziwa mkate sausage bia kwa cheap. msala karudishwa kisa ugomvi bar, ugomvi wa demu. mahabusu zao mazingira safi kuku mchele maziwa full.. kurudishwa boda kasindikizwa na na askari wa bistwana, mali zake pesa zake za akiba na simu kama pc 100 kaja nazo saiv ana goli kkoo. anasema anajipanga upya lazima arudi
Wewe jamaa bhana nimecheka sana ujue daah***** mimi nimekulia sehemu mabro wote walikua wanandoto za kuamsha tu mbele tu .Mimi mwenyewe nimepambana sana niondoke bongoland .5m tu ikanilostisha na akili za kizamani za wanandugu.Sema sio case niko natombanisha mijusi kwenye korido kwenye korido za mahakama .
Binafsi nishawahi kwenye South Africa,Zambia na Kisha Mozambique
Kwa hiyo Zanzibar na Sheli sheli huko kitaa ni ughaibuniKitaa huwa wanasema ughaibuni ni hadi uvuke maji...
Hata hivyo maosha ni kupambana mahali popote, ikishindikana leo bado kuna kesho, kuna keshokutwa na kuendelea...
Never say never
Kwa hiyo Zanzibar na Sheli sheli huko kitaa ni ughaibuni