Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
Kuna wakati hadi unashukuru Mungu hata ulie machozi kwa jinsi ulivyo na bahati.
Wengine wamewahi okota fedha, wangine wachumba, wengine kazi.. etc.
Kuna mengine yanatokea kwa uzuri upande wako lakini sio mazuri kwa wengine.
Mfano huna pesa.. unampa mwuza duka buku ununue kitu cha buku ila ajabu anakurudishia elfu 9 akidhani umempa buku 10..
Mimi niliwahi rushiwa laki 5 na wakala wa mpesa hadi leo hawaja ulizia.. na unajua ukitumiwa fedha na wakala haina namba ya simu.. hivyo nipo nasubiri voda wanipigie leo ni mwaka wa 3.
Ebu twambie jambo gani ambalo ulijiona kama mtu mwenye bahati.
Wengine wamewahi okota fedha, wangine wachumba, wengine kazi.. etc.
Kuna mengine yanatokea kwa uzuri upande wako lakini sio mazuri kwa wengine.
Mfano huna pesa.. unampa mwuza duka buku ununue kitu cha buku ila ajabu anakurudishia elfu 9 akidhani umempa buku 10..
Mimi niliwahi rushiwa laki 5 na wakala wa mpesa hadi leo hawaja ulizia.. na unajua ukitumiwa fedha na wakala haina namba ya simu.. hivyo nipo nasubiri voda wanipigie leo ni mwaka wa 3.
Ebu twambie jambo gani ambalo ulijiona kama mtu mwenye bahati.